VIGOGO WA WIZARA YA ARDHI NA MAENDELEO YA MAKAZI WAPO UKUMBINI TAYARI KWA BAJETI
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Mhan disi Anthony Sanga (kulia), akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Hamad Abdallah baada ya kukutana katika ukumbi wa bunge wa Spika jijini Dodoma kwa ajili ya kusikiliza uwasilishwaji wa bajeti ya wizara hiyo leo utakaofanywa na Waziri wa wizara hiyo
Katibu Mkuu MMjhandi Sanga, akisalimiana na aliyewahi kuwa Waziri wa Wizara hioyo Angelina Mabula
Comments
Post a Comment