WAZIRI KAPINGA AZINDUWA BODI YA WAKURUGENZI YA STAKABADHI GHALA (WRRB)
Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kampinga, akisoma Hotuba yake katika Hafla ya Uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala uliofanyika jijiji Dodoma leo asubuhi, pamoja na mambo mengi aliitaka bodi hiyo kusimamiza wakulima wapate mapato mazuri katika kuuza mazao yao pindi yanapouzwa, amewaambia wajumbe wa bodi hiyo ataipima kwa utendaji kazi bora wake na siyo kwa jina lake, kuwe na vitendo vingi na siyo maneno mengi.
Viongozi wa dini wakiomba kabla ya uzinduzi wa bodi hiyo
Meza kuu wakisisima kwa dakika moja kuombeleza kifo cha Mbunge Jenista Mhagama
Waziri Kapinga akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa Kilimo David SilindeKatibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara. Dkt. Hashil Twaib Abdallah, akaizungumza katika uzinduzi huo
Naibu Waziri wa Kilimo Devid Silinde, akizungumzaMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Prof. Geraldine Arbogast Rashel, akizungumza katika uzinduzi huo wa bodiMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Prof. Geraldine Arbogast Rashel ,akimkabidhi kishikwambi Waziri Kapinga.
Viongozi wa dini wakiomba kabla ya uzinduzi wa bodi hiyo
Meza kuu wakisisima kwa dakika moja kuombeleza kifo cha Mbunge Jenista Mhagama
Waziri Kapinga akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa Kilimo David SilindeKatibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara. Dkt. Hashil Twaib Abdallah, akaizungumza katika uzinduzi huo
Naibu Waziri wa Kilimo Devid Silinde, akizungumzaMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Prof. Geraldine Arbogast Rashel, akizungumza katika uzinduzi huo wa bodiMwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Prof. Geraldine Arbogast Rashel ,akimkabidhi kishikwambi Waziri Kapinga.
Comments
Post a Comment