MCHANGO WA MWISHO BUNGENI WA MAREHEMU JENISTA MHAGAMA NA PICHA ZA MATUKIO YA KUAGWA KWAKE LEO KANISANI DODOMA
Hii ndiyo picha ya mwisho ya marehemu Jenista Mhagama, akitoa mchango wake kuelezea jinsi alivyomfahamu Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, baada ya kusomwa jina lake bungeni na spika Mussa Azan Zungu lilipowasilishwa na Mpambe wa Rais ndani ya ukumnbi wa bunge.
Spika mstaafu Anne Makinda ,akiwasili Kanisani kwa ajili ya ku,uaga Marehemu Jenista Mhagama
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, John Mongela, akiwasili kanisani
Naibu SdpikaSpika Zuingu
Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa akiwasili Wapigapicha kutoka vyombo mbalimbali wakiwajibikaMakamu wa Rais Mstaafu Dkt. Philip Mpango, akiwasili
Rais Mstaafdu Mzee wa Msoga Dkt. Jakaya Kikwete, akiwasiliWaziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ,akiwasili
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda na Mkewe Tunu Pinda wakiwasiliMakamu wa Rais Dkt. John Nchimbi, akiwasiliGari lenye mwili wa Marehemu Jenista likiwasili kanisani
Askari wa Bunge wakiingiza kanisani jeneza lenye mwili wa marehem,u JenistaJopo la mapadri na wasaidizi wao wakiingia kanisani tayari kuanza misa
Askari wa Bunge wakitoa mwili kanisani na kuupeleka kwenye samamu ya Mama Bikira Maria , ambayo alifadhili ujenzi wake ambapo kila mara alipokuwa akisali hapo misa ya kwanza alikuwa lazima aende hapo kwa ajili ya maombi
Wanakwaya wa kanisa hilo wakiimba
Mbunge wa Bagamoyo Subira Mgaru (kushoto) naye alikuwpo
Watoto wake na wanafamilia wakishuhudia mwili ukiingizwa kwenye gari tayari kulejeshwa nyumbani kwake tayari kesho kwenda Songea kwa mazikoHakika alikuwa mtu wa Mungu, baada ya mwili wake kuingizwa kwenye gari na kutoka eneo la kanisa mvua kubwa ya mawe ilishuka , mzee Yusuph Ali mkazi wa maeneo hayo alisikika akisema mama huyu alikuwa mtu wa mungu dalili zemeonyesha leo kulikuwa na jua na joto kali lakini mvua hii inaonyesha kiasi gani amepokelewa vyema huko aendako baada ya kumalizka misa yake.
Spika mstaafu Anne Makinda ,akiwasili Kanisani kwa ajili ya ku,uaga Marehemu Jenista Mhagama
Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, John Mongela, akiwasili kanisani
Naibu SdpikaSpika Zuingu
Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa akiwasili Wapigapicha kutoka vyombo mbalimbali wakiwajibikaMakamu wa Rais Mstaafu Dkt. Philip Mpango, akiwasili
Rais Mstaafdu Mzee wa Msoga Dkt. Jakaya Kikwete, akiwasiliWaziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ,akiwasili
Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda na Mkewe Tunu Pinda wakiwasiliMakamu wa Rais Dkt. John Nchimbi, akiwasiliGari lenye mwili wa Marehemu Jenista likiwasili kanisani
Askari wa Bunge wakiingiza kanisani jeneza lenye mwili wa marehem,u JenistaJopo la mapadri na wasaidizi wao wakiingia kanisani tayari kuanza misa
Askari wa Bunge wakitoa mwili kanisani na kuupeleka kwenye samamu ya Mama Bikira Maria , ambayo alifadhili ujenzi wake ambapo kila mara alipokuwa akisali hapo misa ya kwanza alikuwa lazima aende hapo kwa ajili ya maombi
Wanakwaya wa kanisa hilo wakiimba
Mbunge wa Bagamoyo Subira Mgaru (kushoto) naye alikuwpo
Watoto wake na wanafamilia wakishuhudia mwili ukiingizwa kwenye gari tayari kulejeshwa nyumbani kwake tayari kesho kwenda Songea kwa mazikoHakika alikuwa mtu wa Mungu, baada ya mwili wake kuingizwa kwenye gari na kutoka eneo la kanisa mvua kubwa ya mawe ilishuka , mzee Yusuph Ali mkazi wa maeneo hayo alisikika akisema mama huyu alikuwa mtu wa mungu dalili zemeonyesha leo kulikuwa na jua na joto kali lakini mvua hii inaonyesha kiasi gani amepokelewa vyema huko aendako baada ya kumalizka misa yake.
Comments
Post a Comment