MAMLAKA YA UDHIBITI WA UNUNUZI WA UMMA PPRA YAWAPIKA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA DODOMA
Meneja Mafunzo wa Mamlaka ya PPRA, Gilbert Kamnde, akiwafafanulia jambo wanndishi wa habari katika semina ya kuwajengea uwenzo wa kuifahamu utendaji kazi wake kama ilivyopitishwa na bunge mwaka 2001 na kanuni zake GN namba 518 za mwaka2024 na matumizi ya mfumo wa NeST Katika ununuzi wa Umma.Wanahabari waliwez kufahamu kwamba Serikali inaweza kununua bidhaa 3 tuu zilizotumika kwa manufaa ya umma kama Ndege, Meri na Treni zingine zote zinatakiwa mpya Wanahabari wakiwa makini katika mafunzo hayo