Posts

Showing posts from December, 2025

MAMLAKA YA UDHIBITI WA UNUNUZI WA UMMA PPRA YAWAPIKA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA DODOMA

Image
Meneja Mafunzo wa Mamlaka ya PPRA, Gilbert Kamnde, akiwafafanulia jambo wanndishi wa habari  katika semina  ya kuwajengea uwenzo wa  kuifahamu utendaji kazi wake   kama ilivyopitishwa na bunge  mwaka 2001 na kanuni zake GN namba 518 za mwaka2024 na matumizi ya mfumo wa   NeST Katika ununuzi wa  Umma.Wanahabari waliwez kufahamu kwamba Serikali inaweza kununua   bidhaa  3 tuu   zilizotumika  kwa manufaa   ya umma  kama Ndege, Meri na  Treni  zingine zote zinatakiwa mpya                                                   Wanahabari wakiwa makini katika mafunzo hayo  

MCHANGO WA MWISHO BUNGENI WA MAREHEMU JENISTA MHAGAMA NA PICHA ZA MATUKIO YA KUAGWA KWAKE LEO KANISANI DODOMA

Image
Hii ndiyo picha ya mwisho ya marehemu Jenista Mhagama, akitoa mchango wake kuelezea  jinsi alivyomfahamu Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, baada ya kusomwa jina lake bungeni na spika Mussa Azan Zungu lilipowasilishwa na Mpambe wa Rais ndani ya ukumnbi wa bunge. Spika mstaafu Anne Makinda ,akiwasili Kanisani kwa ajili ya ku,uaga Marehemu Jenista Mhagama Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, John Mongela, akiwasili kanisani Naibu Sdpika Spika Zuingu Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa akiwasili  Wapigapicha kutoka vyombo mbalimbali wakiwajibika Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Philip Mpango, akiwasili Rais Mstaafdu Mzee wa Msoga Dkt. Jakaya Kikwete, akiwasili Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ,akiwasili Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda na Mkewe Tunu Pinda wakiwasili Makamu wa Rais Dkt. John Nchimbi, akiwasili Gari lenye mwili wa Marehemu Jenista likiwasili kanisani Askari wa Bunge wakiingiza kanisani jeneza lenye mwili wa marehem,u Jenista Jopo la  mapadri na wasaidizi wao  wakiingia...