RAIS .DKT SAMIA SULUHU HASSAN ALIZINDUA JIJINI DODODMA LEO

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo jijiji Dodoma amelizindua bunge  ambalo litafikia mwisho wake mwaka 2030, ametoa hotuba ya kihistoria yenye mwelekeo wa kuijenga nchi izidi kusonga mbela, Rais amesema hatakuwa na msalie mtume na wavivu  na wasiotaka kutekeleza shida za wananchi.






























Spika wa bunge akimuongoza Rais kuingia ukumbini kwa ajili ya kulizindua
Wabunge wakimpokea
Makatibu mezani  nao wakimpokea Rais




 

Comments

Popular posts from this blog

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.