PICHA ZA TUKIO KUTANGAZWA WAZIRI MKUU BUNGENI JIJINI DODOMA
Mpambe wa Rais (ADC) Brigedia Jenerali, Nyambura Mashauri, akishuka kwenye gari baada nya kuwasili viwanja vya bunge kwa ajili ya kuwasilisha jina kwa Spika jina Teule la Waziri Mkuu
Akiapa kuwa mbunge
Mwigulu Nchemba, kwa mara ya mwisho akiwasili na wabunge wenzake wa Mkoa wa Singida wakiongozana baada ya hapo alitoka ndani ya ukumbi wa bunge alishakuwa na ulinzi hapa mpaka masha yake yote ataambatana na ulinzi
Spika Zungu akisoma jina la Waziri Mkuu chini ya Katibu wa BungeBaada ya kusomwa jina wabunge walipagawa na kuanza kumshangilia
Mpambe wa Rais akiondoka ukumbi wa Bunge
Akiapa kuwa mbunge
Mwigulu Nchemba, kwa mara ya mwisho akiwasili na wabunge wenzake wa Mkoa wa Singida wakiongozana baada ya hapo alitoka ndani ya ukumbi wa bunge alishakuwa na ulinzi hapa mpaka masha yake yote ataambatana na ulinzi
Spika Zungu akisoma jina la Waziri Mkuu chini ya Katibu wa BungeBaada ya kusomwa jina wabunge walipagawa na kuanza kumshangilia
Mpambe wa Rais akiondoka ukumbi wa Bunge
Comments
Post a Comment