MBUNGE LUKUVI AONGOZA KIKAO CHA BUNGE KUMPATA SPIKA MPYA
Askari wa BUNGE, akimuongoza Mbunge wa jimbo la Ismani, William Lukuvi, kwenda kukalia kiti kuongoza uchaguzi wa Spika, uliokuwa na wagombea saba kutoka vyama vya siasa na hatimaye , aliyeibuka kidedea ni Mgombea wa CCM ,Iddi Azan Zungu kwa kuwabwaga wagobea wenzake kutoka vyama sita vya siasa
Lukuvi akiongoza BungeWabunge wakiwa bungeniMwanamuziki Diamondi, akishuhudia kuapishwa kwa wabungeMgombea Zungu, akijibu maswali ya wabungeLukuvi, akiwaelekeza wabunge jinsi ya kupiga kuraZungu akiapa baada ya kushindaMwenyekiti wa muda Lukuvi, akiagana na Zungu tayari kukalia kiti cha uspika baada ya ushindiSpika Zungu, akiingia Bungeni tayari kuanza kikao cha kuapisha wabungeWabunge wakiimba wimbo wa Taifa na ule wa Afrika Mashariki kabla ya kauza kikao cha bungeBrasbendi ya Jeshi la Polisi, wakiogoza wimbo wa Taifa na Ule wa Afrika Mashariki tayari kuaza mwanz Vikao vya bunge kwa miaka mitano Spika Zungu, akiwasome baadhi ya vifungu vya kanuni vya bunge Spika Mstaafu Dkt. Tulia Akson, akinyanyuka baada ya kupongezwa na Zungu kwa uongozi wake uliotukuka wakati akiliongoza buunge huku yeye akiwa Naibu spikaDkt.Tulia akiapaDkt. Biteko akiapaMwenyekiti wa wa muda akiapa
Lukuvi akiongoza BungeWabunge wakiwa bungeniMwanamuziki Diamondi, akishuhudia kuapishwa kwa wabungeMgombea Zungu, akijibu maswali ya wabungeLukuvi, akiwaelekeza wabunge jinsi ya kupiga kuraZungu akiapa baada ya kushindaMwenyekiti wa muda Lukuvi, akiagana na Zungu tayari kukalia kiti cha uspika baada ya ushindiSpika Zungu, akiingia Bungeni tayari kuanza kikao cha kuapisha wabungeWabunge wakiimba wimbo wa Taifa na ule wa Afrika Mashariki kabla ya kauza kikao cha bungeBrasbendi ya Jeshi la Polisi, wakiogoza wimbo wa Taifa na Ule wa Afrika Mashariki tayari kuaza mwanz Vikao vya bunge kwa miaka mitano Spika Zungu, akiwasome baadhi ya vifungu vya kanuni vya bunge Spika Mstaafu Dkt. Tulia Akson, akinyanyuka baada ya kupongezwa na Zungu kwa uongozi wake uliotukuka wakati akiliongoza buunge huku yeye akiwa Naibu spikaDkt.Tulia akiapaDkt. Biteko akiapaMwenyekiti wa wa muda akiapa
Comments
Post a Comment