WAZIRI MKUU AKAGUA UWEKEZAJI WA KAMPUNI YA UCHIMBAJI MADINI YA BUNYU (GRAPHITE) WILAYANI RUANGWA

 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua uwekezaji wa Kampuni ya Huaer International Limited ya uchimbaji wa madini ya Bunyu (Graphite) iliyopo katika Kijiji cha Ng’au, Wilayani Ruangwa Oktoba 7, 2025. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akikagua uwekezaji wa Kampuni ya Huaer International Limited ya uchimbaji wa madini ya Bunyu (Graphite) iliyopo katika Kijiji cha Ng’au, Wilayani Ruangwa Oktoba 7, 2025. Kulia ni Mtaalamu wa Miamba ya Madini (Geologist) wa mradi huo, Elibariki Mkindwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,akizungumza na Mkurugenzi wa Kampuni Uchimbaji wa Madini ya Bunyu (Graphite) ya Huaer International Limited Jackson Nyamhagate, wakati alipokagua uwekezaji wa Kampuni ya Huaer International Limited ya uchimbaji wa madini ya Bunyu (Graphite) iliyopo katika Kijiji cha Ng’au, Wilayani Ruangwa Oktoba 7, 2025. Kushoto ni Mtaalamu wa Miamba ya Madini (Geologist) wa mradi huo, Elibariki Mkindwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiangalia jiwe lenye madini ya Bunyu, wakati alipokagua uwekezaji wa Kampuni ya Huaer International Limited ya uchimbaji wa madini ya Bunyu (Graphite) iliyopo katika Kijiji cha Ng’au, Wilayani Ruangwa Oktoba 7, 2025. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni Uchimbaji wa Madini ya Bunyu (Graphite) ya Huaer International Limited Jackson Nyamhagate na Mtaalamu wa Miamba ya Madini (Geologist) wa mradi huo, Elibariki Mkindwa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA