RIDHIWANI KIKWETE AENDELEA KUOMBA KURA NA KUWAOMBEA WAGOMBEA WA CHAMA CHAKE



Kampeni zinaendelea ambapo leo mgombea ubunge jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete  akifanya vikao vya  ndani na mikutano ya hadhara kuendelea kuomba kuungwa mkono ili kushinda Uchaguzi unakuja wa tarehe 29 Oktoba 2025 ametumia nafasi hiyo kukumbushana wajibu wa  viongoz wa Chama na pia kukumbusha yale mahsusi ya Ilani ya Uchaguzi katika maeneo yao.  Ambapo viongozi na wananchi wameendelea kuelimika na Kazi inaendelea.

Picha ni baadhi ya Matukio Kata ya Msata na Kiwangwa.




 

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA