RC . SENYEMULE AIPONGEZA HOSPITALI YA BENJAMINI MKAPA KWA HUDUMA ZAKE

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma RoseMary Senyamule, akihutubia maadhmisho ya  miaka kumi ya Hospitali ya Benjaini Mkapa yaliyofanyikia katika viwanja vya Nyerere Square jijini Dodoma leo. Maadhimisho hayo yaliambatana na kutolewa matibabu kwa wananchi waliofika hapo bure. Amewaomba wafanyakazi wa hospiatli hiyo kuendelea na moyo wao wa kujituma  wakati wakiwahudumia wananchi kwani wanapata sifa kubwa hata mbinguni, amebainisha sifa za Hospiatli hiyo zimesambaa hata nje ya nchi jinsi wanavyojituma  wakati wa kutoa huduma kwa wagonjwa." nawaomba msilewe na sifa mwendelee na huduma  hizo kwani sifa hizi ni zenu na mkurugenzi wenu Serikali ya mama yetu kipenzi  Dkt. Samia Suhulu Hassan ipo naninyi  itawatimizia kila mnalolitaka ili kulahisisha utendaji kazi wenu".alisema Senyamule. Amewaomba wananchi wote siku ya 29.10.2025 kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura ili wamlejesha mtendaji mkuu wa nchi aendeleel kuwatumikia.


Madaktari wa hospitali hiyo wakiwapatia matibabu wananchi waliofika hapo bure







Mkurugenzi wa Hospitali hiyo Profesa Abeli Makubi, akipiga picha ya pamoja na jumuiya ya wanawake wa kundi la Samia  mkoa wa Dodoma.
 

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA