Rais Samia Suluhu Hassan apokea Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan,
akizungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia
ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, na Waziri wa Ushirikiano
wa
Kikanda wa Nchi hiyo Mhe. Floribert Anzuluni, Ikulu Jijini Dar es Salaam
tarehe
24 Oktoba, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa Nchi hiyo Mhe. Floribert Anzuluni, mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Oktoba, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea Ujumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, uliowasilishwa kwake na Mjumbe Maalum na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa Nchi hiyo Mhe. Floribert Anzuluni, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Oktoba, 2025.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwa katika Picha ya pamoja na Mjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, na Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa Nchi hiyo Mhe. Floribert Anzuluni, mara baada ya mazungumzo yao Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 24 Oktoba, 2025.





Comments
Post a Comment