PROFESA MWAMFUPE AHITIMISHA KAMPENI KWA KUWAOMBA WANANCHI WAKAPIGE KURA

Mgombea Udiwani Kata ya Madukani Dodoma mjini  profesa Davis  Mwamfupe   ambaye pia alikuwa Mstahiki Meya wa jiji hilo , akizungumza na wanahabari baada ya kuhitimisha kampeni zake alizofanya leo kutembelea wapiga kura katika eneo lake  lote ambalo sehemu kubwa ni sehemu ya biashara na makazi kidogo. Akizungumza kwa kujiamini aliwaomba wananchi wa kata yake wajitokeze kwa wingi mapema kwenda kupiga kura  baada ya kupiga na kulejea majumbani mwao kusubili matokeo, hakuna wa kuwazuia kupiga kura vyombo vya ulinzi na usalama vipo macho kwa lolote. "Nawaombeni wananchi wenzagu tujitokeze kwa wingi kwenda kukitendea haki chama chetu kuwachagua wagombea wote kwa kipindi cha miaka mitano  tena ni CCM inayoaminika".alisema Mwamfupe. 
Profesa Mwamfupe, akizungumza huku akiwa amezungukwa na baadhi ya viongozi wa kata hiyo


Mwenyekiti wa CCM Kata hiyo, a,izungumza na wanahabari  baada ya kuhitimishwa kampeni


 

Comments

Popular posts from this blog

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.