MWAKAGENNDA AMNADI MBUNBE WA KYELA NA KUMUOMBEA KURA DKT.SAMIA

Mbunge mstaafu Sophia Mwakagenda , akimnadi Mgombea ubunge jimbo la Kyela,  Baraka Mwamengo  (kulia) Mwakagenda ,aliwambia wananchi wa Kyela kwamba hakuna mwingine wa kumaliza matatizo yao ni viongozi wa Chama cha Mapinduzi ambao sasa wanawanadi ili wawaongoze kwa kipindi cha miaka mitano. " nawaomba mtuchaguliea mgombea urais mama yetu kipenzi mpenda watu mnyenyekevu msikivu mtu wa mungu, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mbunge Baraka Mwamengo na Madiwani wetu. Baada ya mkutano huo kumalizika Mwakagenda alienda kuendesha mkuatno wa ndani  wa mgombea jimbno la Mbeya Vijijini Patali Patali








 

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA