MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AZUNGUMZA NA WANANCHI VIWANJA VYA MAO ZEDUNG BAADA YA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR

MATUKIO mbalimbali  ya picha katika mkutano wa Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi wakati akizungumza na Wananchi katika viwanja vya Mao Zedung Wilaya ya Mjini Jijini Zanzibar, baada ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar, katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara.(Picha na Ikulu)









 


MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi,Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali akizungumza na Wananchi katika mkutano wake uliyofanyika katika viwanja vya Mao Zedung Jijini Zanzibar, baada ya kuchukua Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar  katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara leo 30-8-2025.(Picha na Ikulu)  






 

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA