MATUKIO YA PICHA MBALIMBALI ZA RAIS ALIPOKUWA AKIHAKIKI NA KUCHUKUA KITAMBULISHO CHAKE CHA KUPIGA KURA

Rais  Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Kutokujitokeza kujiandikisha ni kukataa mwenyewe haki yako ya kikatiba na unapokataa haki  ya kikatiba  unapaswa  kujiuliza kwanza  je ni mzalendo? Ni mzalendo wa namna gani ambaye katiba imekupa fursa hii nenda kajiandikishe,piga kura,weka kiongozi  unaehisi atakuja kukuhudumia,wewe, familia yako na ndugu zako. Kwanini  unaikataa haki yako uliyopewa kikatiba kumbuka  ukiikataa wenzio watakwenda kuweka yule wanaemtaka na unakosa fursa ya kushawishi  wengine kuweka yule mnaemtaka kwahiyo unakuwa wewe wa kubabaisha tu na kulalamika." chini ya miti  Amesema Rais Dkt. Samia baada ya kutimiza yeye takwa la kisheria na kuchukua kitambulisho chake  katika viwanja vya ukumbi wa kijiji cha Chamwino karibu na Ikulu. je wewe mwananchi wa nchi hii huru kwanini usijitokeze kutimiza na wewe takwa hilo. kazi kwako mwaka huu kumbuka uchaghuzi upo.


Akiwahutubia wananchamwino na kuwaahidi atapiga kura hapohapo

Wananchi wakimsikiliza kwa makini Rais











Wanasiasa wakongwe nao walikuwepo Luhavi na Burembo
















Akiwaonyesha wanahabari kitambulisho chake baada ya zoezi kumalizika.
 

Comments

Popular posts from this blog

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.