RPC KATABAZI ATEMA CHECHE DODOMA KUELEKEA SIKUKUU ZA KRISMAS NA MWAKA MPYA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) George Katabazi, akiwaonyesha wanahabari mapanga ambayo yamekamatwa katika msako wa kuelekea sikukuu za Krismas na Mwaka mpya , ametoa onyo kwa wale wote wanaotaka kufanya uhalifu katika mkoa wa Dodoma, chamoto watakiona na watajuta kuzaliwa bora wakaachana na tabia hiyo. Kamanda aliwaomyesha wanahabari zaidi ya pikipiki 30 zilizokamatwa na askari wake katika misako hiyo Bastora moja na lisasi zake iliyoibiwa kwa mkazi wa Dodoma kisha kutelekezwa, gari moja na dawa za kulevya aina ya bangi zingine zikiwa zimefungwa kwenye paketi tayari kwa kuuzwa kwa watumiaji. Aidha amewapa onyo waendesha pikipiki ataanza kuwakamata wanaofanya bishara hiyo huku wakiwa hawavai kofia pamoja na abilia wao na wengine kuzifanya pikipiki ziwe zinatoa mlio mkubwa kama wa gari wakati wakiwa wanaendesha.
Katabazi akionyesha silaha iliyokamatwa
Akionyesha chombo cha kukatia makufuli au nondo akigusa inaitika na mlango au dilisha
Kamanda akiwaonyesha wanahabari Bangi iliyokamatwa
Gari iliyokamatwa katika misako
Akibadilishana mawazo na wanahabari baada ya kumalizika mazungumzo
Tv, Redio, Laptop na Viti vilivyoibiwa
Pikipiki zikiwa kituoni hapo
Katabazi akionyesha silaha iliyokamatwa
Akionyesha chombo cha kukatia makufuli au nondo akigusa inaitika na mlango au dilisha
Kamanda akiwaonyesha wanahabari Bangi iliyokamatwa
Gari iliyokamatwa katika misako
Akibadilishana mawazo na wanahabari baada ya kumalizika mazungumzo
Tv, Redio, Laptop na Viti vilivyoibiwa
Pikipiki zikiwa kituoni hapo
Comments
Post a Comment