WAZIRI WA TAMISEMI ATAGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, akiwasili katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwaajili ya  kutangazia matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika nchini jana. Chama cha Mapinduzi kimeongoza kwa ushindi  na kufuatiwa na Chadema.



Wanahabari wakichukua tukio hilo









 

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA