WAZIRI WA TAMISEMI ATAGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa, akiwasili katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma kwaajili ya kutangazia matokeo ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika nchini jana. Chama cha Mapinduzi kimeongoza kwa ushindi na kufuatiwa na Chadema. Wanahabari wakichukua tukio hilo