KATIBU MKUU MAJI AFUNGUA KIKOA CHA WATENDAJI MAMLAKA ZA MAJI

 

Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mwajuma Waziri amefungua kikao cha Wakurugenzi Watendaji wa Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira nchini, jijiji Dodoma kilichohusu kupokea na kujadili maelekezo ya viongozi wa Wizara ya Maji.

Miongoni mwa masuala yaliyowekewa mkazo katika kikao hicho na Mhandisi Waziri ni pamoja na ushirikiano kwa watendaji katika kutimiza majukumu yao ili kuleta matokeo chanya na ushirikishwaji wa wananchi na viongozi kuhusu huduma za maji zinazotolewa.

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA