Rais Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi wateule wafuatao Ikulu
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akimuapisha Ndugu Alice Edward Mtulo kuwa Naibu Wakili Mkuu wa Serikali
katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28
Aprili, 2024.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akimuapisha Ndugu Winfrida Beatrice Korosso kuwa Mwenyekiti wa Tume ya
Kurekebisha Sheria Tanzania katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini
Dar es Salaam tarehe 28 Aprili, 2024.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan,
akimuapisha Ndugu Bibiana Joseph Kileo kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka
katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28
Aprili, 2024.
Ndugu
Bibiana Joseph Kileo Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Alice Edward
Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali na Ndugu Winfrida Beatrice Korosso
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiapa Kiapo cha
Maadili ya Viongozi katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es
Salaam tarehe 28 Aprili, 2024.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa
Rais Dkt. Philip Isdor Mpango wakiwa katika picha ya pamoja na Ndugu
Bibiana Joseph Kileo Naibu Mkurugenzi wa Mashtaka, Ndugu Alice Edward
Mtulo Naibu Wakili Mkuu wa Serikali na Ndugu Winfrida Beatrice Korosso
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania mara baada ya hafla
fupi ya kuwaapisha iliyofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28
Aprili, 2024.
Comments
Post a Comment