CCM MKOA WA TANGA IPO IMARA====== MWENYEKITI RAJAB

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tanga Rajab Abdurhaman akipandisha bendera ya CCM kuashiria ufunguzi wa Shina la Wakereketwa  wa CCM Vatican City Kata ya Msambweni Jijini Tanga wakati wa ziara yake juzi,Picha na mpiga picha wetu


 

Comments