KINANA AWAAMBIA VIJANA SOMENI SERA, ILANI ,KANUNI,KATIBA NA MWELEKEO WA CHAMA

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Kanali Mstaafu Abdulhaman Kinana, akiwasili katika ukumbi  wa Mikutano wa Jiji la Dodoma (Mitumba)kwa ajili ya kufungua Mkutano wa uchaguzi wa Umoja wa Vijana wa Chama hicho unaofanyika leo. Kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo na kulia ni Katibu Mkuu UVCCM, Kenani Kihongosi. . amewataka vijana kusoma sana na kukielewa chama nini kinataka na muwaelewesha washindani wenu  ikiwa ni njkia ya kujenga nchi . Mkutano huo mkuu wa uchaguzi umehudhuliwa na vyama marafiki wa CCM, wakitokea umoja wa vijana wa vyama tawala, Msumbiji, Afrika Kusini, Burundi na Zimbabwe na vyama vya Siasa nchini  vya CUF  na NCCR-Mageuzi.
Wajumbe wa Mkutano huo wakimashangilia Ktibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha ANC, alipokuwa akizungumza akitema madini kuhusu kujikomboa kwa Waafrika kujiepusha na wakoloni. na kutana kiswahili kiwe ndiyo lugha sasa ya mawasiliano.








Chongolo akizunguza






























 

Comments

Popular posts from this blog

AJIRA MPYA 41,500 SERIKALINI ZATANGAZWA KATIBU MKUU UTUMISHI JUMA MKOMI

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA