Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro , afungua mkutano wa kimataifa ulinzi na usalama kwa wanahabari
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro , akifungua mkutano wa Kimataifa unaozungumzia Usalama na Ulinzi kwa wanahabari kwa nchi za Aftika Masharki na Kati, mkutano unazungumzia Usalama kwa waandishi wa habari kulinda Maisha yaoa
Jenerali Ulimengu akimsikiliza Waziri Ndumbaro
Wanahabari wakisikiliza kwa makini mada zilizokuwa zikitolewa hapo
Mwongoza mada Dkt. Ananilea Nkya, akimtambulishaUlimwengu ili atoa mada yake
Jenerali Ulimwengu, akitoa mada iliyokuwa ikizungumzia ulinzi
Comments
Post a Comment