WAZIRI UMMY MWALIMU AKITETA NA WASAIDIZI WAKE WAKUU
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu,akiteta na Katibu Mkuu Upande wa Afya Dkt. Abel Makubi na Naibu Waziri Molel (katikati)
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi, akizungumza leo na wanahabri kuhusu utoaji wa vibali vya ajira kwa mwaka wa fedha 2024 /2025 na 2025/2026. ambapo alisema Taasisi mbalimbali zinatakiwa kuajili wafanyakazi wapya, hebu iona taarifa kamili ya Katibu huyo @@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@@ TAARIFA YA UTOAJI WA VIBALI VYA AJIRA KWA MWAKA WA FEDHA 2024/25 NA MWAKA 2025/26 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Katika kuhakikisha kuwa Wizara, Idara, Taasisi za Serikali, Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa zinakuwa na watumishi wa kutosha kutekeleza majukumu yake, Serikali katika kipindi cha miaka miwili ambayo ni mwaka wa fedha 2024/25 na Mwaka 2025/26, iliidhinishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nafasi 86,500 za Ajira Mpya. a) MWAKA WA FEDHA 2024/25 Ndugu Wanahabari; Serikali katika mwaka wa fedha 2024/25 ilitoa kibali cha nafasi 45,000 za ajira mpya kwa Taasisi mbalimbali na utekelezaji wake ulianza kuanzi...
Kangaroo hupatikana Australia pekee Miamba Bahari ya Australia ni mikubwa kuliko yote Duniani na kivutio kwa watalii Ramani ya Australia Robo tatu ya Waustralia wanaishi katika majiji makubwa na maeneo ya pwani. Fukwe pia ni sehemu za utambulisho wa Australia SAYARI tuishimo yaani dunia ina mabara saba, ambayo tukianzia kwa mtiririko wa bara kubwa hadi dogo ni Asia, Afrika, Amerika Kaskazini, Amerika Kusini, Ulaya, Antarctica na Australia Mbali ya mabara hayo ambayo Antartica ni pekee lisilokaliwa na watu kutokana na kufunikwa na barafu kwa asilimia 89, dunia ina nchi huru kati ya 180 na 195 huku ikiwa na mamia kwa maelfu ya visiwa. Katika makundi hayo matatu, Australia ni pekee duniani iliyobeba sifa zote tatu yaani bara, nchi na kisiwa, kwani nyingi zimeishia kuwa na sifa moja au mbili yaani nchi na au kisiwa. Australia ni bara dogo kuliko yote duniani, lakini pia kisiwa kikubwa kuliko vyote katika sayari hii. Mbali ya sifa hiz...
TAARIFA KWA UMMA UTEUZI WA AWALI WA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WATAKAOSHIRIKI KATIKA ZOEZI LA KURA ZA MAONI KWA NAFASI ZA UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI Kamati Kuu ya Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, katika kikao chake kilichofanyika tarehe 28 Julai, 2025 Jijini Dodoma, pamoja na mambo mengine, imepitia na kujadili majina ya wanachama wake walioomba kupendekezwa katika mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM. Kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105 (7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa majina ya wanachama wafuatao, ambao watapigiwa kura za maoni kwa mujibu wa Kanuni na Kalenda za Chama Cha Mapinduzi. 1) MKOA WA ARUSHA (i) Jimbo la Arusha Mjini (1) Ndugu Ally Said BABU (2) Ndugu Hussein Omarhajji GONGA (3) Ndugu Aminatha Salash TOURE (4) Ndugu Mustapha Said NASSORO (5) Ndugu Paul Christian MAKONDA (6) Ndugu Lwembo Mkwavi MGHWENO (7) Ndugu Jasper Augustino KISHUMBUA (ii) Jimbo la A...
Comments
Post a Comment