WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA
TAARIFA KWA UMMA UTEUZI WA AWALI WA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WATAKAOSHIRIKI KATIKA ZOEZI LA KURA ZA MAONI KWA NAFASI ZA UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI Kamati Kuu ya Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, katika kikao chake kilichofanyika tarehe 28 Julai, 2025 Jijini Dodoma, pamoja na mambo mengine, imepitia na kujadili majina ya wanachama wake walioomba kupendekezwa katika mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM. Kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105 (7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa majina ya wanachama wafuatao, ambao watapigiwa kura za maoni kwa mujibu wa Kanuni na Kalenda za Chama Cha Mapinduzi. 1) MKOA WA ARUSHA (i) Jimbo la Arusha Mjini (1) Ndugu Ally Said BABU (2) Ndugu Hussein Omarhajji GONGA (3) Ndugu Aminatha Salash TOURE (4) Ndugu Mustapha Said NASSORO (5) Ndugu Paul Christian MAKONDA (6) Ndugu Lwembo Mkwavi MGHWENO (7) Ndugu Jasper Augustino KISHUMBUA (ii) Jimbo la A...










Comments
Post a Comment