TAARIFA KWA UMMA UTEUZI WA AWALI WA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) WATAKAOSHIRIKI KATIKA ZOEZI LA KURA ZA MAONI KWA NAFASI ZA UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI Kamati Kuu ya Halmashauri ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, katika kikao chake kilichofanyika tarehe 28 Julai, 2025 Jijini Dodoma, pamoja na mambo mengine, imepitia na kujadili majina ya wanachama wake walioomba kupendekezwa katika mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM. Kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105 (7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa majina ya wanachama wafuatao, ambao watapigiwa kura za maoni kwa mujibu wa Kanuni na Kalenda za Chama Cha Mapinduzi. 1) MKOA WA ARUSHA (i) Jimbo la Arusha Mjini (1) Ndugu Ally Said BABU (2) Ndugu Hussein Omarhajji GONGA (3) Ndugu Aminatha Salash TOURE (4) Ndugu Mustapha Said NASSORO (5) Ndugu Paul Christian MAKONDA (6) Ndugu Lwembo Mkwavi MGHWENO (7) Ndugu Jasper Augustino KISHUMBUA (ii) Jimbo la A...
Kangaroo hupatikana Australia pekee Miamba Bahari ya Australia ni mikubwa kuliko yote Duniani na kivutio kwa watalii Ramani ya Australia Robo tatu ya Waustralia wanaishi katika majiji makubwa na maeneo ya pwani. Fukwe pia ni sehemu za utambulisho wa Australia SAYARI tuishimo yaani dunia ina mabara saba, ambayo tukianzia kwa mtiririko wa bara kubwa hadi dogo ni Asia, Afrika, Amerika Kaskazini, Amerika Kusini, Ulaya, Antarctica na Australia Mbali ya mabara hayo ambayo Antartica ni pekee lisilokaliwa na watu kutokana na kufunikwa na barafu kwa asilimia 89, dunia ina nchi huru kati ya 180 na 195 huku ikiwa na mamia kwa maelfu ya visiwa. Katika makundi hayo matatu, Australia ni pekee duniani iliyobeba sifa zote tatu yaani bara, nchi na kisiwa, kwani nyingi zimeishia kuwa na sifa moja au mbili yaani nchi na au kisiwa. Australia ni bara dogo kuliko yote duniani, lakini pia kisiwa kikubwa kuliko vyote katika sayari hii. Mbali ya sifa hiz...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akimpongeza Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la Wabaptist Tanzania Askofu Arnold Manase Molell, mara baada ya kusimikwa kuwa Askofu na Mwangalizi Mkuu wa Kanisa hilo, katika viwanja vya Baptist Seminary Ngaramtoni Arusha. Novemba 6,2022. ( Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waumini wa Kanisa la Baptist Tanzania, makati alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika ibada maalum ya kumsimika Askofu Mteule na Mwangalizi Mkuu wa Kanisa hilo, katika viwanja vya Baptist Seminary Ngaramtoni Arusha. Novemba 6,2022. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akipokea Tuzo ya Heshima kwa Niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, kwa kutambua mchango wake katika kuwatumikia Watanzania, Tuzo hiyo imetolewa na kanisa la Wababtist Tanzania na kukabishiwa na Mwangalizi Mkuu wa Kanisa la Wabaptist Tanzania Askofu Arnold Manase Molell, katika viwanja vya Baptist Seminary Ngara...
Comments
Post a Comment