MTANANGE WA AZAM NA SIMBA TAIFA LEO
Kiungo
wa Simba Jonasi Mkude, (katikati) akiwania mpra na wachezaji wa Azam FC, katika
mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa kwnye Uwanja wa Taifa Dar es
Salaam leo na kutoka suluhu ya 0-0
Wachezaji wa Simba na Azam FC, wakizozana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa kwnye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Mshambuliaji wa Simba Hamis Kizza, (kulia)akiwania mpira na beki wa Azam FC, Aggrey Moris, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa kwnye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Wachezaji wa Simba na Azam FC, wakizozana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa kwnye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Mshambuliaji wa Simba Hamis Kizza, (kulia)akiwania mpira na beki wa Azam FC, Aggrey Moris, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara uliochezwa kwnye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
Gabriel Moris akiokoa mpira mbele ya washambuliaji wa Simba
Awadh Juma, Danny Lyanga
Goli kipa wa Azam FC Aish Manula akidaka mpira
mbele ya mshambuliaji wa Simba Hamis Kizza
Comments
Post a Comment