WABUNGE WA CCM KATIKA MKUTANO WA KUMCHAGUA SPIKA DODOMA

 MBUNGE MTEULE WA MAGUFULI TULIA ACKSON MWANSASU, AKIWAN UKUMBI WA WHITE HOUSE DODOMA LEO

Wabunge Hussein Bashe Nzega Mjini katikati , akibadilishanamawazo na wabunge wenzake kabla ya kuanza uchaguzi wa spika jana  Aishi hilaly na Vick Kamata
 Kamara na Nyarandu, wakizungumza ndani ya ukumbi wa mkutano

Sixtus Mapunda na Nkamia wakizungumza
 Ezekiel Maige na Mwigulu  Nchemba
Wabunge wakiwa ndani ya ukumbni wa mikutano
 Zungu na Mwijage
 Bashe, Nanuye na Silaa wakiwa kwenye mazungumzo






 Wabunge kutoka Zanzibar, wakaimsikiliza kwa makini katibu mkuu wa Chama hicho alipokuwa akifungua kikao cha kumchagua Spika
 Andrew Chenge, profesa Anna Tibaijuka . wakibadilishana mawazo na mgombea wa Uspika Job Ndugai kabla ya kuanza uchaguzi jana



Zungu na Nyarandu


 Profesa,Sospita Muhongo, akibadilishana mawazo na mbunge mwenzake Hussein Nassor, wakisubili ufunguzi wa kikao cha spika jana katikati ni Pprofesa Stephine Ngonyani

 Kamati ya maandalizi ya uchaguzi wa Naibu spika wakiwa kwenye maandalizi ya kumchangua jana

Majenge yakibadilishana mawazo Maprofesa  Muhongo na Tibaijuka


 Wanahabari wakiwa kazini

Balozi Adadi Rajabu ndani ya mjengo wa ccm


Lucy Mayenga, akibadilishana mawazo na wabunge wenzake Richard Ndassa na Sadiq Murrad, kabla ya kuanza uchaguzi wa Spika











 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Abdulahaman Kinana, akifungua kikao cha kumchagua Spika kwa upande wa chama hicho kilichofanyika Dodoma



 Mgombea uspika Mwinyi



 Abbas Mmwinyi, akimsindikiza mdogo wake
 Ndugai ndani ya mawazo kabla hajapita bila kupingwa
 Wanahabari wakimhoji baada ya kupitishwa
Akishangilia na wabunge wenzake

Comments

Popular posts from this blog

AJIRA MPYA 41,500 SERIKALINI ZATANGAZWA KATIBU MKUU UTUMISHI JUMA MKOMI

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA