DK. GADI AOMBEA MVUA NA AMANI NCHINI
Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari
Njema kwa Wote, Dk. Charles Gadi (kulia), akiongoza ibada maalum ya kuliombea
taifa kulekea Uchaguzi Mkuu na masuala mbalimbali ikiwemo mvua, kuwaombea
wagombea, ambayo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck
Sadick (wa pili kulia), iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam
juzi.
Dk. Gadi, amewaomba watanzania kufanya uchaguzi wa amani ili Du ia ishuhudie jinsi tulivyo wamoja bila shaka na na mwenyezi mungu atatushushia mvua yenye amani isiyikuwa na mawaa.
Comments
Post a Comment