MZEE NASSORO MOYO ANAHOJA ASIBEZWE CCM ITAVUNA MAJANGA



 Mwanzilishi wa Halakati za Mapinduzi Zanzibar mzee Nassoro Moyo majuzi ilitangazwa kwamba ametimuliwa katika chama cha mapinduzi akiwa mwanachama namba 7  kilichomponza mzee huyu ni kusema kweli kwamba mambo hayaendi vyema  kwenye chama chao sasa kimetekwa na ma bwanyenye wasiopenda kukosorewa na hata Baba wa taifa angekuwa hai hakika angefukuzwa kwani nae alikuwa haachi kuwakosoa waliopo madarakani
 

 mzee moyo akizungumza kwa masikitiko na mmiliki wa blog hii alipomtembelea nyumbani kwake nje ya mji wa Unguja hivi  karibuni

Hakika alikuwa nguzo ya CCm, hapa akiteta na Rais wa sasa wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, siku tume ya uchaguzi ilipomtangaza m shindi wa kiti hicho na kuunda serikali ya Maridhiano na chama cha CUF
 Mzee Moyo akiwa kwenye picha hii na Rais wa sasa walipomtembelea rais huyo Ikulu na tume yake ya maridhiano yeye akiwa mwenyekiti. Huu ndio ulikuwa mwanzo na mwisho wa kuitwa na mtawala huyo Ikulu. wajumbe wake wawili sasa wametimuliwa ccm tuone mwaka huu itakavyokuwa.
 Akizungumza kwa msisitizo

Baada ya mazungumzo tuliamua kupiga picha ya pamoja na kuagana hakika mzee huyu ni hazina kwa nchi ya Zanzibar na tanzania kwa ujumla ila baadhi ya watawala huwa hawataki kuambiwa ukweli.

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA