WAZIRI PROFESA NDALICHAKO APOKEA SHEHENA YA VITABU VYA SAYANSI KUTOKA INDIA
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia na Elimu ya Ufundi Profesa Joyce. Ndalichako, akiongozana na mgeni wake Balozi wa India nchini Sandeep Arya kuingia katika ukumbi kwa ajili ya kukabidhi shehena ya vitabu vya Sayansi kwa shule za Sokondari nchini. Hafla hiyo imefanyika leo Wakiwa wamesimama kwa ajili ya wimbo Balozi wa India nchini Sandeep Arya akizungumza kabla ya kukabidhi Waziri Profesa Ndalichako akizungumza na kuiopongeza Serikali ya India na Balozi mwenyewe kwa msaaada huo UBALOZI wa India umekabidhi vitabu vya Sanyansi,Hisabati, Biolojia na Kemia zaidi ya milioni moja kwa ajili ya wanafunzi wa kidato cha Tatu,nne, tano na sita ili wanafunzi waweze kujifunza masomo hayo. Akizungumza wakati wa makabidhiano hayo, yaliyofanyika jijini Dar es Salaam jana, Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Joyce Ndalichako( ALIYESIMAMA) sema kuwa, vitabu hivyo vitapelekwa kwenye shule za vijijini ambazo miund...