WABUNGE WA CCM KATIKA MKUTANO WA KUMCHAGUA SPIKA DODOMA
MBUNGE MTEULE WA MAGUFULI TULIA ACKSON MWANSASU, AKIWAN UKUMBI WA WHITE HOUSE DODOMA LEO Wabunge Hussein Bashe Nzega Mjini katikati , akibadilishanamawazo na wabunge wenzake kabla ya kuanza uchaguzi wa spika jana Aishi hilaly na Vick Kamata Kamara na Nyarandu, wakizungumza ndani ya ukumbi wa mkutano Sixtus Mapunda na Nkamia wakizungumza Ezekiel Maige na Mwigulu Nchemba Wabunge wakiwa ndani ya ukumbni wa mikutano Zungu na Mwijage Bashe, Nanuye na Silaa wakiwa kwenye mazungumzo Wabunge kutoka Zanzibar, wakaimsikiliza kwa makini katibu mkuu wa Chama hicho alipokuwa akifungua kikao cha kumchagua Spika Andrew Chenge, profesa Anna Tibaijuka . wakibadilishana mawazo na mgombea wa Uspika Job Ndugai kabla ya kuanza uchaguzi jana Zungu na Nyarandu Profesa,Sospita Muhongo, akibadilishana mawazo na mbunge mwenzake Hussein Nassor, wakisubili ufunguzi wa kikao cha s...