WABUNGE WAMWAGIA SIFA KEDEKEDE WAZIRI MKENDA NA NAIBU WAKE WANU NA KATIBU MKUU WA WIZARA HIYO MAMA NOMBO
Waziri wa Elimu sayansi na Teknolojia, Profesa. Adolf Mkenda akiwasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 leo asubuhi Bugeni Dodoma
Naibu Waziri wa Wizara hiyo . Wanu Hafidh Ameir, akijibu maswali ya wabunge kipindi cha maswali na majibu leo asubuhi bungeni
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Sylvia Lupembe, akiwapanga wadau wa wizara hiyo kupiga picha ya pamoja na viongozi wake
Mabula Magangila, akichangia bajeti ya wizara hiyo
Comments
Post a Comment