SERIKALI YAMPATIA BILIONI 32.2 MKEMIA MKUU ---------- DKT MAFUMIKO

  Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko, amesema kwa kipindi cha miaka mitano Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imewekeza kwa kipindi cha miaka mitano takribani Shilingi Bilioni 38. 2.kwenye ununuzi wa mitambo ya kisasa ya uchunguzi na vifaa vya maabara, aidha  aliwabainisha wanahabari kwambaMamlaka hiyo (MMS) ilianzishwa chini ya Sheria ya Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali Na.8 ya Mwaka 2016. Aidha amempongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuiwezesha kwa hali na mali mamlaka yake mpaka sasa imefikia hapo ilipo. 
















 

Comments

Popular posts from this blog

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?