MIFUGO KUINGIA KWENYE VYANZO VYA MAJI NI TATIZO----- DKT. SHINHU

Mkurugenzi wa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Victoria (LVBWB) nchini Tanzania  Dkt. Renatus Shinhu, akizungumza na wanahabari katika ukumbi wa Idara ya Habari MA EKLEZO jijini Dodoma leo akizungumzia  utendaji kazi wa bodi hiyo  akifafanua Ofisi yake inawajibika na usimamizi wa rasilimali za maji katika bonde hilo, ikijumuisha kuhakikisha upatikanaji endelevu wa maji na kushirikiana na wadau mbalimbali kuongoza miradi ya maendeleo ya maji










 

Comments

Popular posts from this blog

WALIOPITA KURA ZA MAONI CCM HAWA HAPA

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?