PICHA ZA MATUKIO YA SIKU YA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SHERIA NCHINI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia, Majaji, wageni waalikwa pamoja na wananchi kwa ujumla kwenye Maadhimisho ya Siku ya Sheria nchini ambayo Kitaifa yamefanyika katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma tarehe 03 Februari, 2025.





Rais Dkt, Samia Suluhu Hassan, spika wa Bunge Dkt. Tul;ia Ackson , Jaji Mkuu wa Prof. Ibrahim Hamis Juma na viongozi wengine wakiwa wamesimama  wakati wimbo wa Taifa ukipigwa na ule wa Afrika Mashariki  wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Sheria Nchini yaliyofanyika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma leo February 03,2025



Jaji Mkuu wa Tanzania  Prof. Ibrahim Hamis Juma (katikati), akionoza maandamano ya Majaji kuingia katika eneo la maadhimisho ya siku ya sheria nchini 


















Wanakwanya wa Mahakama Kuu wakitoa burudani katika kilele hicho













 

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA