MWENYEKITI MWANYIKA APONGEZA TBS NA CAMARTEC

 
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Suleiman Jafo (kulia), akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Deodatus Mwanyika, alipokuwa akifungua kikao cha Idara mbili za Wizara yake ambazo ni Shirika la Viwango nchini (TBS) na Kituo cha Uzalishaji zana za Kilimo Vijijini (CAMARTEC 

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Deodatus Mwanyika, akifungua kikao hicho, ambapo alizipongeza taasisi hizo ambazo  zinagusa maisha ya moja kwa maja ya wananchi wa Tanzania na kuwaomba watendaji wake kuwa makini zaidi kusikiliza malalamiko ya wananchi  na kuyatafutia ufumbuzi kwa haraka, ili kumsaidia Rais DKT, Samia Suluhu Hassan, ambaye moyo wake ni kuona wananchi wanapata huduma zilizo bora.
· Mkurugenzi wa Shirika la Viwango nchini (TBS) Dkt. Ashura A. Katunzi, akimsikiliza kwa makini Mwenyekiti huyo


Mkurugenzi Mkuu wa   Kituo cha Uzalishaji zana za Kilimo Vijijini (CAMARTEC, Godfrey Mwinama, akiwasilisha maelezo yake kwa wabunge
Maofisa wa Taasisi hizo wakiwa katika kikao hicho

Maofisa wa TBS wakiwa kikaoni

Mjumbe wa Kamati hiyo Profesa Ishengoma ,akifatilia hotuba kwenye kishikwambi chake




Mkurugenzi Mkuu wa   Kituo cha Uzalishaji zana za Kilimo Vijijini (CAMARTEC, Godfrey Mwinama, akiwasilisha maelezo yake kwa wabunge



Mwenyekiti Mwanyika akisisitiza jambo

Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, akihitimisha kikao hicho kwa wabunge kwa majadiliano mazuri na Taasisi za wizara yake

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA