JUKWAA LA KATIBA WAANZISHA MIKUTANO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA ILIYOKWAMA
Mhadhili
wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitivo cha sheria Profesa Chris Peter Maina, akiwasilisha mada yake
iliyosema historia ya uandishi wa katiba Tanzania, katika mkutano mkuu wa
kitaifa wa katiba unaoendelea jijini Dar
es Salaam. Katikati ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba TanzaniaDeus Kibamba na
kulia ni Mwongoza mkutano Israel Irunde
Washiriki wakisikiliza mada
Ilunde, akizungumza
Afisa wa Chama cha ACT Wazalendo Mtemelwa,akichangia mada katika mkutano huo
Mchangiaji akichangia mada
Kibamba, akimtania Peter katika mkutano huo
Washiriki wakipiga picha ya pamoja baada ya ufunguzi
Katibu wa Jukwaa la Wahariri Neville Meena, akitoa mada katika mkutano huo kuhusu wanahabari na ushiriki wao katika mchakato wa katiba iliyopendekezwa
Washiriki wakisikiliza mada
Ilunde, akizungumza
Afisa wa Chama cha ACT Wazalendo Mtemelwa,akichangia mada katika mkutano huo
Mchangiaji akichangia mada
Kibamba, akimtania Peter katika mkutano huo
Washiriki wakipiga picha ya pamoja baada ya ufunguzi
Katibu wa Jukwaa la Wahariri Neville Meena, akitoa mada katika mkutano huo kuhusu wanahabari na ushiriki wao katika mchakato wa katiba iliyopendekezwa
Comments
Post a Comment