BAJETI YA WIZARA YA aRDHI NA mAENDELEO YA mAKAZI MJINI dODOMA


Wabunge wa Chadema, wakijadiliana jambo bungeni leo wakati usomaji wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa mwaka 2016 hadi 2017 bungeni 

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi akisoma bajeti ya wizara yake bungeni 
 Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu  Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenesta Mhagama (kushoto), akimsikiliza kwa makini na  Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji, Charles  Mwijage  katikati  jana bungeni kulia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dk. Susan Kolimba

Naibu Spika Dk. Tulia Ackson (kushoto), akiwasikiliza wabunge wakijadiliana jambo bungeni 

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi, akinywa maji baada ya kumaliza kusoma hotuba yake jana bungeni

Waziri William Lukuvi na Naibu wake  Angelina mabula,wakisikiliza majadiliano yalivyokuwa bungeni wakati wakijadili bajeti ya wizara yake 
Wakihakiki takwimu ili waje wajibu maswali ya wabunge kwa ufasaha
 Msemaji wa Kambi ya Upinzani bungheni Wilfred Lwakatare, akisoma bajeti ya upinzani  ya  Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi kwa mwaka 2016 na 2017

Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Cecilia Pareso, akichangia hotuba ya bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya makazi kwa mwaka 2016 na 2017

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA