WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DSM KAMPASI YA MABIBO NUSURA WAFE KWA MOTO LEO ASUBUHI


Askari wa Jjeshi la Zimamoto Kanda ya Temeke, wakizima moto katika Mabweniya Chuo Kikikuu cha Dar es Salaam Kampasi ya Mabibo  baada ya wanafunzi wake kunusurika kuungua moto jana kutokana na hitilafu ya umeme iliyoanzia kwenye stoo ya magodoro yaliyohifadhiwa katika moja ya majengo hayo
 baadhi ya wasamalia wema wakisaidia kuokoa vifaa hususan kwenye bweni la wanawake


Moto ulivyofanyan vitu vyake


 Wanafunzi wakiwa wamekusanyika kwenye eneo hilo huku askari wakijitahidi kuzima moto huo
 Vifaa vilivyookolewa


Askari wa zimamoto wakifanya vitu vyao



Kamanda wa kanda ya Polisi ya kinondoni Wambura, akizungumza na wapiganaji wake katika eneo hilo kulinda vifaa vya wanafunzi wasiibiane

yaoWakihakiki vitu v


Vitanda vikiwa havina magodora baada ya kutupwa nje





 Wakijitahidi kutafuta vitu vyao kwenye nguo za wenzao waliowahi kuokoa na kuzichanganya


 Wakiwa kwenye eneo la tukio
 Wanafunzi wakipeana pole
 Wakishuhudia uokoaji
 Wanajitahidi zimamoto, wakisema wanafunzi hao
 Moto ulivyounguza paa la bweni hilo
Askari wa chuo hicho wakiwasachi wanafunzi waliokuwa wakitoka kwenye kampasi hiyo wasije kutoka na vitu vya wenzao

Comments

Popular posts from this blog

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

KADA MGEJA AHUDHURIA MAZIKO YA MAMA MZAZI WA MWANDISHI MWANDAMIZI WA HABARI KAHAMA