Posts

KATIBU MTE NDAJI TUME YA MIPANGO AZUNGUMZA NA WANAHABARI JIJINI DODOMA

Image
Katibu Mtenji wa Tume ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa, akizungumza na wanahabari kuhusu maandalizi ya kuanza kwa utekelezaji wa Dira 2050 mazungumzo hayo yamefanyika jijini  Dodoma  leo  

MARUFUKU MWANAFUNI KUCHAPWA AU KULEJESHWA NYUMBNANI KISA MICHANGO YA SHULE----WAZIRI MKEND

Image
Waziri wa  ‎Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inaendelea kutekeleza ahadi za Rais Samia kwa vitendo, hususan kumlesha mwanafunzi nyumbani kisa kakosa mchango wa shule Waziri Mkenda amesema nikosa kubwa  kwa mwalimu yeyote atakayemlejesha mwananfunzi nyumbani au kumchapa bakola kisa kakosa  mchango wa shule Profesa Mkenda ameyasema hayo wakati akizungumza na wanahabari katika Ukumbi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo jijini Dodoma, katika kutoa taarifa ya utekelezaji wa ahadi za Rais samia ndani ya siku 100. Amenainisha kwamba Serikali inasema Elimu hailipiwi ili watoto wa kitanzania wote wasome , hata hivyo amesema kamati za shule zinaweza kuwa na utaratibu wao wa kuchangia kama chakula kwa wananfunzi wao  Hata nhivyo siyo mwanafunzi kuchapwa au kulejeshwa nyumbani kisa mzazi hajatoa fedha za mchango huo,amesema sasa amechoka kusema hivyo sasa ataanza kiuwachukuliamhatua walimu wanaofan...

WAZIRI RIDHIWA KIKWETE AZUNGUMZIA SIKU 100 ZA RAIS DKT. SAMIA

Image
Waziri   wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora   Ridhiwani Kikwete, akizungumza na wanahabari kuhusu siku 100 za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan tangu kushika madaraka . Mkutano huo ulifanyika Ofisi za Idara ya habari (MAELEZO) zilizopo Mtumba jijini Dodoma Akizungumza na waandishi wa habari Januari 30, 2026 jijini Dodoma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwan Kikwete, amesema kuwa Serikali imeajili watumishi 12,000  kibari cha ajira  kilitolewa baada ya  kuapishwa tarehe 3 Novemba 2025. Amebainisha kuwa kwa mujibu wa kifungu cha 7, kifungu kidogo cha 7 cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298, jukumu la kuendesha mchakato wa ajira katika Utumishi wa Umma linafanywa na Sekretarieti ya Ajira iliyo chini ya Ofisi ya Rais. Amesema kuwa baada ya tangazo la ajira kutolewa na maombi kupokelewa, Sekretarieti ya Ajira ya Utumishi wa Umma iliratibu usaili uliofanyika katika mik...

WAZIRI MKUU MWIGULU AANZA KUJIBU MSWALI YA WABUNGE PAPO KWA PAPO

Image
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amewaonya       wafanyabishara nchi kutopandisha bidhaa zao katika Mfungo wa Mwezi mtukufu wa ramadhani na Mfungo wa Kwaresma akisema nchi hii haina uhabawa chakula, Mwigulu aliyasema hayo wakati akijibu maswali ya papo kwa papo yanayoulizwa na wabunge siku ya Alhamis, tabia hiyo iliyozoeleka tangu Uwaziri Mkuu wa Mizengo Pinda, ukalithiwa na Kassim Mjaliwa  sasa Mwigulu. Aidha alibaisha kwamba Mamlaka ya Hali ya hewa nchini (TMA) pamoja na l kutangaza kuwepo kwa upungufu wa mvua lakini nchi inajitosheleza kwa chakula. Mbunge wa Kwanza kuzindua pazia la maswali alikuwa Mbunge wa Ushetu Emmanuel Cherehani.  Spika Zungu, akiingia bungeni leo asubuhi  Mbunge wa Ushetu, Emmanuel Cherehani, akimuuliza swali Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, kuhusu malalamiko ya wananchi  kulipa fedha za kumuona daktari pindi wafikapo Hospitalini, Zahanati na hata hospitali za rufaa, wakati madaktari na watumishi wa Serikali wanalipwa fedha n...