Posts

MCHANGO WA MWISHO BUNGENI WA MAREHEMU JENISTA MHAGAMA NA PICHA ZA MATUKIO YA KUAGWA KWAKE LEO KANISANI DODOMA

Image
Hii ndiyo picha ya mwisho ya marehemu Jenista Mhagama, akitoa mchango wake kuelezea  jinsi alivyomfahamu Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, baada ya kusomwa jina lake bungeni na spika Mussa Azan Zungu lilipowasilishwa na Mpambe wa Rais ndani ya ukumnbi wa bunge. Spika mstaafu Anne Makinda ,akiwasili Kanisani kwa ajili ya ku,uaga Marehemu Jenista Mhagama Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, John Mongela, akiwasili kanisani Naibu Sdpika Spika Zuingu Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa akiwasili  Wapigapicha kutoka vyombo mbalimbali wakiwajibika Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Philip Mpango, akiwasili Rais Mstaafdu Mzee wa Msoga Dkt. Jakaya Kikwete, akiwasili Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ,akiwasili Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda na Mkewe Tunu Pinda wakiwasili Makamu wa Rais Dkt. John Nchimbi, akiwasili Gari lenye mwili wa Marehemu Jenista likiwasili kanisani Askari wa Bunge wakiingiza kanisani jeneza lenye mwili wa marehem,u Jenista Jopo la  mapadri na wasaidizi wao  wakiingia...

WAZIRI KAPINGA AZINDUWA BODI YA WAKURUGENZI YA STAKABADHI GHALA (WRRB)

Image
Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kampinga, akisoma Hotuba yake katika Hafla ya  Uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi ya Usimamizi wa Stakabadhi  za Ghala uliofanyika jijiji Dodoma leo asubuhi, pamoja na mambo mengi aliitaka bodi hiyo kusimamiza wakulima wapate mapato mazuri katika kuuza  mazao yao pindi yanapouzwa, amewaambia wajumbe wa bodi hiyo ataipima kwa utendaji kazi bora wake na siyo kwa jina lake, kuwe na  vitendo vingi na siyo maneno mengi. Viongozi wa dini wakiomba kabla ya uzinduzi wa bodi hiyo Meza kuu wakisisima kwa dakika moja kuombeleza kifo  cha Mbunge Jenista Mhagama Waziri Kapinga akibadilishana mawazo na  Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde Katibu Mkuu  Wizara ya Viwanda na Biashara.   Dkt. Hashil Twaib Abdallah, akaizungumza katika uzinduzi huo Naibu Waziri wa Kilimo Devid Silinde, akizungumza Mwenyekiti wa Bodi ya   Wakurugenzi   wa Bodi ya   Usimamizi   wa Stakabadhi   za   Ghala Prof . Geraldine...