DODOMA NDIO MKOA WENYE MADINI MENGI NCHINI------KAIMU MHANDISI GST
Kaimu Mtendaji Mkuu wa GST, Notka Banteze JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MADINI TAASISI YA JIOLOJIA NA UTAFITI WA MADINI TANZANIA (GST) MAFANIKIO YA GST KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MINNE YA SERIKALI YA AWAMU YA SITA (2021 – 2025) MACHI, 2025 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania… Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema aliyetusazia afya njema, pumzi na uhai na kutuwezesha kukutana mahali hapa siku ya leo. Taarifa yangu itakuwa na vipenge vikuu vinne ambavyo ni: Utangulizi (Dhima na Dira); Mafanikio ya GST katika kipindi cha miaka minne cha Serikali ya Awamu ya Sita, Mwelekeo wa GST kwa mwaka 2025/2026 na Hitimisho. 1. UTANGULIZI Ndugu wanahabari na watanzania wote ...