MCHANGO WA MWISHO BUNGENI WA MAREHEMU JENISTA MHAGAMA NA PICHA ZA MATUKIO YA KUAGWA KWAKE LEO KANISANI DODOMA
Hii ndiyo picha ya mwisho ya marehemu Jenista Mhagama, akitoa mchango wake kuelezea jinsi alivyomfahamu Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba, baada ya kusomwa jina lake bungeni na spika Mussa Azan Zungu lilipowasilishwa na Mpambe wa Rais ndani ya ukumnbi wa bunge. Spika mstaafu Anne Makinda ,akiwasili Kanisani kwa ajili ya ku,uaga Marehemu Jenista Mhagama Naibu Katibu Mkuu CCM Bara, John Mongela, akiwasili kanisani Naibu Sdpika Spika Zuingu Waziri Mkuu Mstaafu Kassim Majaliwa akiwasili Wapigapicha kutoka vyombo mbalimbali wakiwajibika Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Philip Mpango, akiwasili Rais Mstaafdu Mzee wa Msoga Dkt. Jakaya Kikwete, akiwasili Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ,akiwasili Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda na Mkewe Tunu Pinda wakiwasili Makamu wa Rais Dkt. John Nchimbi, akiwasili Gari lenye mwili wa Marehemu Jenista likiwasili kanisani Askari wa Bunge wakiingiza kanisani jeneza lenye mwili wa marehem,u Jenista Jopo la mapadri na wasaidizi wao wakiingia...