TCRA YAWAFANYIA WARSHA WANAFUNZI WA KIKE WA SONDARI
Afisa kutoka mamlaka ya Mawasiliano Tanzania Devota Mkwawa Mushi, akitoa mada yake katika warsha kwa wananfunzi wa shule za Sekondari za Kambangwa na Hananasifu , katika maadhimisho ya siku ya teknolojia kwa watoto wa kike.Mamlaka hiyo iliandaawasha hizo kwa siku mbili zilizokuwa mahususi kwa watoto wa kiko kutoka Sekondari za mkoa wa Dar es salaam Miss Luhwanya, akitoa mada yake kuhusu teknolojia MAafisa wa TCRA, wakifuatilia warsha hiyo kwa umakini mkubwa Mmoja wa wanafunzi akipewa chiti baada ya kufuanikiwa kuwa mshindi klatika moja ya maswali yaliyoulizwa baada ya warsha hiyo na kufanikiwa kujisomea muda wa wiki mbili kozi ya kompyuta Mmoja wa wanafunzi kati ya wawili waliofanikiwa kujishindia katika kujibu maswali yaliyoulizwa baada ya warsha hiyo na kufanikiwa kujisomea kozi ya kompyuta, hapa akipewa cheti na mgeni rasmi Afisa habari wa Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA), Sem Mwakyanjala, aki...