Posts

Showing posts from February, 2025

MRADI WA UMEME WA MAKAMBAKO HADI SONGEA UNAOFADHIRIWA NA NCHI YA SWEDEN WAFUNGWA MAHESABU YAKE.

Image
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba, akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza mazungumzo na Balozi wa Swedeni nchini  kuhusu kufunga mahesabu ya mradi wa umeme kutoka Makambako hadi Songea . mradi huo ulikuwa ukifadhiliwa na nchi hiyo,  Katibu Mkuu aliipongeza nchi hiyo kwa kuweza kuinufaisha Tanzania kwa ufadhili wake. Katibu hyo alibainisha kwamba nchi hiyo imebakiza ufadhili wake katika maswala ya Umeme ni umeme wa Hale ambapo wanafanyia matengenezo makubwa , alibainisha kwamba  umeme wa hale ulianza kutumika tangu mwaka 1964 sasa Sweden inakalabati ili uweze kutumika vyema kwa mikoa ya jirani na Tanga. Kushoto ni Balozi wa Sweden nchini  Bii  Charlotta Ozaki-Macias. Mradi huo ulianza kutekelezwa mwaka 2017 ulizinduliwa na Rais wa awamu ya tano hayati Dkt. John Joseph Magufuli, mradi huo ulifadhiliwa kwa mkopo na serikali ya swedeni na leo hii umefungwa rasmi, Mramba alibainishwa kwamba nchi hiyo imefadhili Tanzania kwa miradi ...

AWAMU YA SITA IMEVUTIA WAWEKEAJI WENGI NCHINI M----- GILEAD TERI .MKURUGENZI TIC

Image
Mkurugenzi  Msaidizi wa Idara ya Habari MAELEZO, Zamaradi Kawawa, akimkalibisha Mkurugenzi waKituo cha Uwekezaji (TIC), Gilead Teri, kuzungumza na wanahabari  jijini Dodom leo. Wanahabari wakimsikiliza mkurugenzi huyo Mkurugenzi wa kituo cha uweezaji nchini (TIC), Gilead Teri, akizungumza mbele ya wanahabri kuhusu utendaji kazi wa kituo hicho kwa miaka mnne ya awamu ya sita ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kituo hicho kinaendelea kupokea wawekezaji wengi wa nje na ndani   KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC) HALI YA UKWEKEZAJI NCHINI TAARIFA YA MAFANIKIO YA UWEKEZAJI KIPINDI CHA AWAMU YA SITA - JANUARI 2021 HADI JANUARI 2025 1.0.      Utangulizi Kituo cha Uwekezaji Tanzania kimeanzishwa chini ya sheria ya Uwekezaji kikiwa na majukumu ya kuratibu, kuhamasisha, na kuhudumia wawekezaji kwa kutoa huduma mbalimbali ikiwemo kutoa vibali, leseni na usajili wa uwekezaji kupitia Kituo cha Mahali Pamoja (One Stop Fa...