MASHABIKI YANGA NA SIMBA KUONESHANA UBABE BUNGE BONANZA
Mashabiki wa Yanga wakiwa wamefunika kwa bendera mashabiki wa Simba wakati wa mkutano wa kutangaza Bonanza la mashabiki wa timu hizo kwenye ukumbi wa Bunge wa Msekwa Dodoma. Bonanza hilo lililodhaminiwa na Benki ya Azania linafanyika kwemye viwanja vya Shule ya John Merlin Miyuji, Dodoma. mashabiki wa Yanga wakionesha 5 watakazowafunga watani zao Simba wakiwa katika picha ya pamoja kuonesha umoja wa mashabiki hao wa Simba na Yanga.