WADAU WA USAFIRI TABORA WATAKA MALORI NAYO YATUMIE “LOG BOOK” KUDHIBITI AJALI
Mkuu
wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (katikati) akifafanua jambo jana wakati
wa kikao cha kujitathimini kwa ajili ya kuja na majibu ya kuondoa ajali
za barabarani mkoani humo kichofanyika jana Wilayani Igunga na
kuhudhuriwa na Kamati ya Ulinzi na Usalama Mkoa wa Tabora na ile ya
Wilaya ya Igunga na wadau mbalimbali wa usafiri. Kulia ni Mkuu wa Wilaya
ya Igunga John Mwaipopo na kushoto ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora
Wilbroad Mtafungwa.
Mkuu
wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (aliye na kofia ya kijani) akiwa kwenye
ilipotokea ajali ya Basi la City Boy kugonagana uso kwa uso na lori siku
ya Jumatano usiku.
Mkuu
wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiliangalia Basi la City Boy lilopata
ajali ya kugonagana uso kwa uso na lori siku ya Jumatano usiku mara
baada kuongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa na ile ya Wilaya
ya Igunga kutembelea eneo la tukio.
Mkuu
wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (mwenye kofia ya kijani) na Kamati ya
Ulinzi na Usalama Mkoa na ile ya Wilaya ya Igunga wakiliangalia Basi la
City Boy lilopata ajali ya kugonagana uso kwa uso na lori siku ya
Jumatano usiku.
Mkuu
wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri akiwafariji majeruhi wa ajali ya Basi la
City Boy iliyogongana uso kwa uso na lori siku ya Jumatano usiku mara
baada kutoka katika ilipotokea ajali wilayani Igunga
……………….
NA TIGANYA VINCENT
RS TABORA
KAMATI
ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Tabora na Wadau wa Usafiri
wamependekeza uanzishwaji wa matumizi ya vitabu(log book) kwa magari ya
mizigo ili kudhibiti madereva kusafiri mwendo mrefu bila kupumzika na
hivyo kusababisha ajali kwa magari yao au kugongana uso kwa uso na
magari mengine kutokana na uchovu.
Tamko
hilo limetolewa jana wilayani Igunga na Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey
Mwanri mara baada ya kikao cha kujitathimini kwa ajili ya kuja na majibu
ya kuondoa ajali za barabarani mkoani humo.
Mkuu
huyo wa Mkoa alisema vitabu hivyo vitasaidia kuonyesha muda alitoka ,
mahali alitoka na kama amesafiri muda mrefu atalazimisha apumzike ili
kuepusha ajali.
Alisema
malori yamekuwa yakisafiri mwendo mrefu bila hata dereva wake kupumzika
jambo ambalo limesababisha magari hayo yapate ajali au wakati mwingine
yawe chanzo kinachosabisha ajali katika magari ya abiria.
Mwanri
alisema kwa kulitambua hilo wanaona wakati umefika kwa magari ya mizigo
nayo kuwa na vitabu(log book ) inayoonyesha muda alianza safari katika
kituo chake cha kwanza na muda alipo baada ya kusimamishwa ili kuona
kama kweli amezingatia matawaka ya kitaalamu na sharia ya kutokwenda
kasi.
Alisema
kitaalamu dereva anatakiwa aendeshe chombo cha moto kwa muda usiozidi
saa nane lakini mara nyingi madreva wa malori wamekuwa wakiendesha
magari yao hata zaidi ya muda huo jambo ambalo limekuwa kiwasababisha
baadhi yao kuendesha huko wakisinzia na kupelelea gari kukosa mwelekeo.
Mwanri
alisema ili kuepukana na hilo wadau wamependekeza wammiliki wa gari wa
ya mizigo ya masafa marefu ni vema wawe na madereva wawili ili
wasaidiane.
Mkuu
huyo wa Mkoa alisema hatua nyingine ambayo wameamua kuichukua ni pamoja
na kuongeza askari na magari ya doria katika barabara kuu ya Igunga,
Nzega kwenda Mwanza na Shinyanga.
Alisema
hatua hii inalenga kupambana na madreva ambao nyakati za usiku wakwenda
mwendo mkali kwa sababu ya kujua kuwa nyakati hizo tochi hazifanyi
kazi.
Mwanri
aliongeza kuwa Wadau wa usafiri wameiagiza Wakala wa Barabara
Tanzania(TANROADS) mkoani Tabora kuhakikisha wanaziba mashimo yaliypo
katika barabara kuu zote ili kuondoa uwezekano wa yenyewe kuwa chanzo
cha ajali za barabarani.
Aidha
alisema kuwa Wadau wamekuwabaliana kuwa ukaguzi wa madereva na magari
katika barabara kuu zinazopita Mkoani Tabora utakuwa unafanyika kila
siku ili kujihakikishia kama gari linazo breki, taa zifanya kazi vizuri ,
matari yako vizuri na dreva ajatumia kilevi.
Alisema hatua hiyo inalenga kujihakikishia kama chombo cha usafiri na dreva wake yuko katika hali nzuri.
Hivi
karibuni (4 /4/2018) kulitokea ajali ambapo basi la abiria Kampuni ya
City Boy yenye namba T 983 DCE iligongana uso kwa uso lori lenye namba T
.486 ARB Mitsubishi Fuso wilayani Igunga na kusababisha watu 12 kufa
palepale na mmoja kufia katika Hospitali ya Rufaa Bugango.
Taarifa
za awali zinaoonyesha kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi wa
dereva wa Fuso uliosababisha tairi kupasuka na gari kuhamia upande wa
basi.
Lori hiyo lilikuwa na viazi ambavyo lilivitoa Njombe
RAIS DKT MAGUFULI AZINDUA NYUMBA ZA MAKAZI YA ASKARI POLISI NA KUSHUHUDIA MAZOEZI YA MEDANI KATIKA SIKU YA KARUME JIJINI ARUSHA
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo alipowasili
kuzindua kituo maalumu ya Jeshi la Polisi cha Utalii na Diplomasia
jijini Arusha ambacho kimejengwa na wadau wa utalii kwenye sherehe
zilizofanyika leo Aprili 7, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na Mbuneg wa Viti Maalum Arusha Mhe. Catherine Magige
alipowasili kuzindua kituo maalumu ya Jeshi la Polisi cha Utalii na
Diplomasia jijini Arusha ambacho kimejengwa na wadau wa utalii kwenye
sherehe zilizofanyika leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata
maelezo ya ujenzi wa kituo maalumu ya Jeshi la Polisi cha Utalii na
Diplomasia jijini Arusha ambacho kimejengwa na wadau wa utalii kwenye
sherehe zilizofanyika leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipata
maelezo ya ujenzi wa kituo maalumu ya Jeshi la Polisi cha Utalii na
Diplomasia jijini Arusha ambacho kimejengwa na wadau wa utalii kwenye
sherehe zilizofanyika leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na viongozi
wengine wakiwa katika picha ya pamoja na wadau waliosaidia ujenzi wa
kituo maalumu cha Jeshi la Polisi cha Utalii na Diplomasia jijini
Arusha kwenye sherehe zilizofanyika leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimshukuru
mmoja wa wadau waliosaidia ujenzi wa kituo maalumu cha Jeshi la Polisi
cha Utalii na Diplomasia jijini Arusha kwenye sherehe zilizofanyika
leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata
utepe akiwa na viongozi wengine pamoja na wadau waliosaidia ujenzi wa
kituo maalumu cha Jeshi la Polisi cha Utalii na Diplomasia jijini
Arusha kwenye sherehe zilizofanyika leo Aprili 7, 2018
Msanii
Maringo wa Maringo akiwa tayari kutumbuiza wakati Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wa hafla ya uzinduzi wa
kituo maalumu cha Jeshi la Polisi cha Utalii na Diplomasia jijini
Arusha kwenye sherehe zilizofanyika leo Aprili 7, 2018
Sehemu
ya nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya
baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha
leo Aprili 7, 2018
Sehemu
ya nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya
baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha
leo Aprili 7, 2018
Wana
bendi ya Jeshi la Polisi kikiwa tayari kufanya kazi wakati wa sherehe
za uzinduzi wa nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura
zilizojengwa upya baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe
zilizofanyika jijini Arusha leo Aprili 7, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Mkuu
wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP
Simon Sirro wakifunua pazia kuashiria kufunguliwa rasmi kwa nyumba za
makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya kuteketea
kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuliakipeana
mikono na IGP Simon Sirro baada ya kuzindua rasmi kwa nyumba za makazi
ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya kuteketea kwa
moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana
mikono na RPC wa Arsuah Charles Mkumbo baada ya kuzindua rasmi kwa
nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya
kuteketea kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha leo
Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaidiwa
na viongozi wengine akikata utepe kuashiria kufunguliwa rasmi kwa
nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya
kuteketea kwa moto kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha leo
Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea
baada ya kuzindua rasmi kwa nyumba za makazi ya askari ya polisi za
Naura zilizojengwa upya baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe
zilizofanyika jijini Arusha leo Aprili 7, 2018
Jiwe
la uzinduzi wa nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura
zilizojengwa upya baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe
zilizofanyika jijini Arusha leo Aprili 7, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaga
wananchi wenye furaha baada ya kuzindua rasmi kwa nyumba za makazi ya
askari ya polisi za Naura zilizojengwa upya baada ya kuteketea kwa moto
kwenye sherehe zilizofanyika jijini Arusha leo Aprili 7, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akifurahia jambo na baasdhi ya wanafamilia wa Jeshi la Polisi baada ya
kuzindua rasmi kwa nyumba za makazi ya askari ya polisi za Naura
zilizojengwa upya baada ya kuteketea kwa moto kwenye sherehe
zilizofanyika jijini Arusha leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akipokea saluti ya heshima baada ya kuwasili katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya
miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akikagua gwaride la askari polisi katika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo
cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo
Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akikagua gwaride la askari polisi katika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo
cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo
Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akikagua gwaride la askari polisi katika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo
cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo
Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akikagua Kikosi cha bendi ya Jeshi la Polisi katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka
46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani
Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akikagua Kikosi cha bendi ya Jeshi la Polisi katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka
46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani
Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akikagua Kikosi cha bendi ya Jeshi la Polisi katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka
46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani
Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akimaliza kukagua gwaride katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha
Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili
7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akisalimiana na Mstahiki Meya wa Jiji la Arusha Mhe. Calist
Lazaro alipowasili katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa
Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John
Pombe Magufuli akisalimiana na Kamishna wa Polisi Jamii nchini CP Mussa
Ally Mussa alipowasili katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza
wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John
Pombe Magufuli akipewa jarida la Jeshi la Polisi na IGP Simon Sirro
katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya
kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati
Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Wote
wanasimama na kuimba wimbo wa Taifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha
Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili
7, 2018
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John
Pombe Magufuli na wahudhuriaji wote wakiimba wimbo wa Taifa katika
Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu
ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Gwaride
la heshima kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais
wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume likipita mbele
ya jukwaa kuu leo Aprili 7, 2018
Gwaride
la heshima kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais
wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume likipita mbele
ya jukwaa kuu leo Aprili 7, 2018
Bendi
ya Jeshi la Polisi katika kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46
ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume
likitoa heshima mbele ya jukwaa kuu leo Aprili 7, 2018
Kikosi
cha pikipiki cha Jeshi la Polisi kikionesha namna kinavyopambana na
wahalifu wanaotumia usafiri huo katika kuadhimisha siku ya kumbukumbu
ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume likitoa heshima mbele ya jukwaa kuu leo Aprili 7, 2018
Mmoja wa "wahalifu" akiwa anajaribu kujihami wakati akiandamwa na kikosi cha pikipiki
Mkurugenzi
wa Masoko Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa (wa pili
kushoto) akiongoza ujumbe mzito wa benki ya CRDB katika kuadhimisha
siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar
Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018. Benki hiyo ni mmoja wa wadhamini wakubwa wa ujenzi wa makazi ya askari polisi
Gari
maalumu la kunyunyizia maji ya kuwashawasha likionesha namna kikosi cha
kutuliza ghasia cha Jeshi la Polisi kinavyoweza kupambana na
waandamanaji katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha ikiwa ni
sehemu ya maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha
Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili
7, 2018
Askari
wa Jeshi la Polisi wa kikosi maalumu cha kulinda viongozi wakionesha
namna kinavyoweza kupambana na maadui katika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya
kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati
Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Askari
wa Jeshi la Polisi wa kikosi maalumu cha kulinda viongozi wakionesha
namna kinavyoweza kupambana na maadui katika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya
kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati
Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Askari
wa Jeshi la Polisi wa kikosi maalumu cha kulinda viongozi wakionesha
namna kinavyoweza kupambana na maadui katika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya
kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati
Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Askari
wa Jeshi la Polisi wa kikosi maalumu cha kulinda viongozi wakionesha
namna kinavyoweza kupambana na maadui katika Uwanja wa Sheikh Amri
Abeid jijini Arusha ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya
kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati
Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli na viongozi wengine meza kuu wakipiga makofi wakati wa
maonesho ya vitendo ya vikosi vya kupambana na ghasia na kulinda
viongozi katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha
siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar
Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Kikosi
maalumu cha kupambana na ugaidi kikionesha kazi zake katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya
miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Kikosi
maalumu cha kupambana na ugaidi kikionesha kazi zake katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya
miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli na viongozi wengine meza kuu wakioneshwa na Kamishina wa
Operesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi (CP) Nsato Marijani nakala za
matokeo ya uchunguzi wa shambulizi la bomu wakati wa maonesho ya
mapambano na magaidi yaliyofanywa na vikosi maalumu vya jeshi la polisi
katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya
kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati
Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli na viongozi wengine meza kuu wakioneshwa na Kamishina wa
Operesheni na mafunzo wa Jeshi la Polisi (CP) Nsato Marijani nakala za
matokeo ya uchunguzi wa shambulizi la bomu wakati wa maonesho ya
mapambano na magaidi yaliyofanywa na vikosi maalumu vya jeshi la polisi
katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya
kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati
Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Kikosi
maalumu cha kupambana na ugaidi kikionesha kazi zake katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya
miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Kikosi
maalumu cha kupambana na ugaidi kikipita na kutoa heshiama jukwaa kuu
baada ya kuonesha kazi zake katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Kwaya
ya Chuo cha Mafunzo cha Jeshi la Polisi kikitumbuiza katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya
miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Kwaya
ya Chuo cha Mafunzo cha Jeshi la Polisi kikitumbuiza katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya
miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Kwaya
ya Chuo cha Mafunzo cha Jeshi la Polisi kikitumbuiza katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya
miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid
Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Mkuu
wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akikaribisha wageni na kusoma
risala ya mkoa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza
wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Mkurugenzi
wa Masoko Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB Bi. Tully
Mwambapa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha
siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar
Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akijadiliana jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani Dkt. Mwigulu
Nchemba na IGP Simon Sirro katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Wakuu
wa Wilaya za mkoa wa Arusha wakiwa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid
jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha
Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili
7, 2018
IGP
Simon Sirro akihutubia katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa kwanza
wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani Mhandisi Masauni akihutubia katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka
46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani
Karume leo Aprili 7, 2018
Waziri
wa Mambo ya Ndani Dkt. Mwiguli Nchemba akihutubia katika Uwanja wa
Sheikh Amri Abeid jijini Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka
46 ya kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani
Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akiomba uwanja usimame kwa dakika kadhaa kumboleza kifo cha
Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili
7, 2018
Maafisa waandamizi wa Polisi na wa JWTZ wakifurahia jambo wakati wa
hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu
Dkt. John Pombe Magufuli katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubua Taifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akimpongeza IGP Simon Sirro kwa kujenga jeshi la polisi imara
wakati akihutubua Taifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubua Taifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubua Taifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubua Taifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akihutubua Taifa katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini
Arusha kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya kifo cha Rais wa
kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume leo Aprili 7, 2018
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Dkt. John Pombe
Magufuli akipiga tumba katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha
baada ya kuhitimisha maadhimisho ya siku ya kumbukumbu ya miaka 46 ya
kifo cha Rais wa kwanza wa Zanzibar Hayati Sheikh Abeid Amani Karume
leo Aprili 7, 2018. Picha na IKULU
Comments
Post a Comment