RAIS AMWAPISHA MNADHIMU MKUU NA MAKAMANDA KUPANDISHWA VYEO IKULU
Makamanda wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakingojea kuvishwa vyeo vyao mbele ya Rais Dk, John Magufuli baada ya kuwapandisha vyeo kutoka Brigedia Jenerali hadi kuwa Meja Jenerali katika hafla iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam ambapo nae Rais Magufuli, alimpandisha cheo Meja Jenerali Yakubu Hassan Mohamed kuwa Luteni Jenerali na kuwa Mkuu wa Utawala Jeshini , Hafla hiyo ilifanyika Ikulu
Waliowahi kuwa wanadhimu wakuu wa jeshi hilo Toka kulia ni Luteni Janarali,Mwakibolwa, Ndomba, Gahu na Mwakalindile
Jenrali Mabeyo, akimvalishe cheyo cha Meja Jenerali na Kumkabidhi madaraka kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa
Yakubu akila kiapo
Gahub akitoa nasaha
Ndomba, akitoa nasaha
Mwakibolwa akizungumza
Mabeyo, akiwakabidhi madaraka
Wakishangilia hotuba
Heshima ya wimbo wa Taifa
Rais akipoiga picha na mnadhimu Mpya
Picha ya wakuu wa ulinzi na Usalama nchini
Makamu ,akizungumza na mmoja wa makamanda waliopandishwa vye
Yakubu, akizungumza na wanahabari
Rais ,akisalimiana na makamanda
Mkuu wa Jkt mpya,akizungumza na wazamani
Wanadhimu wa zamani wakizungumza
Rais, akizungumza na Mkuu wa Uhamiaji
Akisalimiana na wanahabari
MWENYEKITI WA CHADEMA,AKIZUNGUMZA NA MAKAMANDA WAKE OFISI ZA TUME
Nusura wazichape na polisi baada ya kutakakurokea kutoelewana
Akizungumza na wanahabari
Mbowe, akiondoka na kuwapungia mkono wa kwaheri
Polisi wakimtamani
Wasimamizi wa kura wakitoa viti kwa ajili ya kukalia kwenye semina ya chadema
Waliowahi kuwa wanadhimu wakuu wa jeshi hilo Toka kulia ni Luteni Janarali,Mwakibolwa, Ndomba, Gahu na Mwakalindile
Jenrali Mabeyo, akimvalishe cheyo cha Meja Jenerali na Kumkabidhi madaraka kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa
Yakubu akila kiapo
Gahub akitoa nasaha
Ndomba, akitoa nasaha
Mwakibolwa akizungumza
Mabeyo, akiwakabidhi madaraka
Wakishangilia hotuba
Heshima ya wimbo wa Taifa
Rais akipoiga picha na mnadhimu Mpya
Picha ya wakuu wa ulinzi na Usalama nchini
Makamu ,akizungumza na mmoja wa makamanda waliopandishwa vye
Yakubu, akizungumza na wanahabari
Rais ,akisalimiana na makamanda
Mkuu wa Jkt mpya,akizungumza na wazamani
Wanadhimu wa zamani wakizungumza
Rais, akizungumza na Mkuu wa Uhamiaji
Akisalimiana na wanahabari
MWENYEKITI WA CHADEMA,AKIZUNGUMZA NA MAKAMANDA WAKE OFISI ZA TUME
Nusura wazichape na polisi baada ya kutakakurokea kutoelewana
Akizungumza na wanahabari
Mbowe, akiondoka na kuwapungia mkono wa kwaheri
Polisi wakimtamani
Wasimamizi wa kura wakitoa viti kwa ajili ya kukalia kwenye semina ya chadema
Comments
Post a Comment