RAIS AMWAPISHA MNADHIMU MKUU NA MAKAMANDA KUPANDISHWA VYEO IKULU

Makamanda wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), wakingojea kuvishwa vyeo vyao  mbele ya Rais Dk, John Magufuli baada ya kuwapandisha vyeo kutoka Brigedia Jenerali hadi kuwa Meja Jenerali katika hafla iliyofanyika Ikulu Dar es Salaam ambapo nae Rais Magufuli, alimpandisha cheo Meja Jenerali Yakubu Hassan Mohamed kuwa Luteni Jenerali na kuwa Mkuu wa Utawala Jeshini , Hafla hiyo ilifanyika Ikulu




 Waliowahi kuwa wanadhimu wakuu wa jeshi hilo Toka kulia ni  Luteni Janarali,Mwakibolwa, Ndomba, Gahu na Mwakalindile


 Jenrali Mabeyo, akimvalishe cheyo cha Meja Jenerali na Kumkabidhi madaraka kuwa Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa


 Yakubu akila kiapo






 Gahub akitoa nasaha
 Ndomba, akitoa nasaha

 Mwakibolwa akizungumza
 Mabeyo, akiwakabidhi madaraka


Wakishangilia hotuba
Heshima ya wimbo wa Taifa

 Rais akipoiga picha na mnadhimu Mpya





 Picha ya wakuu wa ulinzi na Usalama nchini




 Makamu ,akizungumza na mmoja wa makamanda waliopandishwa vye


Yakubu, akizungumza na wanahabari
 Rais ,akisalimiana na makamanda

 Mkuu wa Jkt mpya,akizungumza na wazamani
 Wanadhimu wa zamani wakizungumza
Rais, akizungumza na Mkuu wa Uhamiaji


Akisalimiana na wanahabari






MWENYEKITI WA CHADEMA,AKIZUNGUMZA NA MAKAMANDA WAKE OFISI ZA TUME

 Nusura wazichape na polisi baada ya kutakakurokea kutoelewana


Akizungumza na wanahabari
 Mbowe, akiondoka na kuwapungia mkono wa kwaheri
 Polisi wakimtamani

Wasimamizi wa kura wakitoa viti kwa ajili ya kukalia kwenye semina ya chadema


Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA