MATOKEO YA DARASA LA SABA YATANGAZWA INGIA HUMU.http://www.necta.go.tz/matokeo/2017/psle/psle.htm
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
PSLE-2017 EXAMINATION RESULTS, WILAYA YA BAGAMOYO
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
PSLE 2017 EXAMINATION RESULTS
KIZUIANI PRIMARY SCHOOL - PS1401023
WALIOSAJILIWA : 98
WALIOFANYA MTIHANI : 97
WASTANI WA SHULE : 137.2062
KUNDI LA SHULE : Watahiniwa 40 au zaidi
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIWILAYA: 7 kati ya 22
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIMKOA : 36 kati ya 239
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KITAIFA : 2240 kati ya 9736
WALIOFANYA MTIHANI : 97
WASTANI WA SHULE : 137.2062
KUNDI LA SHULE : Watahiniwa 40 au zaidi
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIWILAYA: 7 kati ya 22
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KIMKOA : 36 kati ya 239
NAFASI YA SHULE KWENYE KUNDI LAKE KITAIFA : 2240 kati ya 9736
CAND. NO
|
SEX
|
CANDIDATE NAME
|
SUBJECTS
|
PS1401023-001
|
M
|
ABDALLAH MKUFU DOTO |
Kiswahili - E, English - E, Maarifa - D, Hisabati - E, Science - D, Average Grade - E
|
PS1401023-002
|
M
|
ABDUL YAHAYA HUSSEIN |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - B, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-003
|
M
|
ABUBAKARI JUMA MNYUKWA |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - B, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-004
|
M
|
ABUU MAULIDI KONDO |
Kiswahili - A, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-005
|
M
|
ADAMU ABDALLAH MILAO |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-006
|
M
|
ADAMU HAMISI CHUKI |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - B, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-007
|
M
|
ALFRED STEVEN KILUA |
Kiswahili - A, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-008
|
M
|
ALLY ZAKARIA ALLY |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-009
|
M
|
AMRANI TIZO MKWAMA |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - D, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-010
|
M
|
AYUBU HAMISI KIKOVE |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-011
|
M
|
BRIGHTON SALMON LAISER |
Kiswahili - B, English - B, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-012
|
M
|
DAMAS DAUDI MUSA |
Kiswahili - E, English - D, Maarifa - E, Hisabati - E, Science - E, Average Grade - E
|
PS1401023-013
|
M
|
DONART KIBARA DONART |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - B, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-014
|
M
|
EMMANUEL NGASA MACHIYA |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - B, Hisabati - A, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-015
|
M
|
HAMISI HOSSENI MTUPENI |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - B, Hisabati - A, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-016
|
M
|
HASSANI MUHSINI HAJI |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-017
|
M
|
HOSENI ADAMU HOSENI |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - D, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - D
|
PS1401023-018
|
M
|
HOSENI MOHAMMEDI KINGWANDE |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - E, Hisabati - E, Science - C, Average Grade - D
|
PS1401023-019
|
M
|
IBRAHIMU SHARIFU MZEE |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - D, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-020
|
M
|
IMRANI KONDRADI FISI |
Kiswahili - D, English - D, Maarifa - E, Hisabati - E, Science - D, Average Grade - D
|
PS1401023-021
|
M
|
ISMAIL BURHANI ABDUL |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-022
|
M
|
ISSA GHARIBU OMARI |
Kiswahili - A, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - B
|
PS1401023-023
|
M
|
JAKOB IBRAHIM YAGA |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - B
|
PS1401023-024
|
M
|
JUMA BAKARI HUSSEIN |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-025
|
M
|
JUMA FREDI HATIBU |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - B, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-026
|
M
|
KASMIRI ROBOGASTI BENEDICT |
Kiswahili - D, English - E, Maarifa - E, Hisabati - E, Science - D, Average Grade - D
|
PS1401023-027
|
M
|
LARRY BENJAMIN JOSEPH |
Kiswahili - A, English - A, Maarifa - B, Hisabati - A, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-028
|
M
|
MASUDI KASIMU MASAKA |
Kiswahili - A, English - B, Maarifa - B, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-029
|
M
|
MDACHI KASIMU MASAKA |
Kiswahili - B, English - B, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-030
|
M
|
MKALI ABUU ROGART |
Kiswahili - A, English - B, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-031
|
M
|
MNANKA CHACHA WAMBURA |
Kiswahili - B, English - B, Maarifa - B, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-032
|
M
|
MOHAMEDI BAKIRI RAJABU |
Kiswahili - B, English - B, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-033
|
M
|
MOHAMEDI KAMBI SHABANI |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - D, Hisabati - D, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-034
|
M
|
MORICE ALLY SELEMANI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-035
|
M
|
MUSA ABDALLAH MUSA |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - E, Science - D, Average Grade - D
|
PS1401023-036
|
M
|
MWENDA KASIMU MWENDA |
Kiswahili - C, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-037
|
M
|
MWINJUMA MSOMA LILA |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-038
|
M
|
OMARI RAMADHANI MATHIASI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-039
|
M
|
PAULO MBAGA JOSEPH |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - D, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-040
|
M
|
RAMADHANI MOHAMEDI MKALI |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-041
|
M
|
RIDHWANI MCHUMI ABDALLAH |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-042
|
M
|
SADI JUMA ADAMU |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - C, Hisabati - D, Science - D, Average Grade - D
|
PS1401023-043
|
M
|
SAIDI ALI HOSENI |
Kiswahili - C, English - E, Maarifa - D, Hisabati - E, Science - C, Average Grade - D
|
PS1401023-044
|
M
|
SAIDI JUMANNE MASHAKA |
Kiswahili - C, English - E, Maarifa - D, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - D
|
PS1401023-045
|
M
|
SAIDI SALUMU JAMES |
Kiswahili - C, English - E, Maarifa - D, Hisabati - E, Science - D, Average Grade - D
|
PS1401023-046
|
M
|
SALIMU ABEDI SALIMU |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-047
|
M
|
SELEMANI HUSSEIN MAGOSO |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-048
|
M
|
SELEMANI OMARI KOMBO |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-049
|
M
|
SHEKHANI HASHIMU SAIDI |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-050
|
M
|
SHUKRANI HAMISI HOSSENI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-051
|
M
|
THOMAS MARTIN EMMANUEL |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-052
|
M
|
YAHAYA SALUMU YAHAYA |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - D, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-053
|
M
|
YUSUFU WAZIRI ABDALLAH |
Kiswahili - X, English - X, Maarifa - X, Hisabati - X, Science - X, Average Grade - X
|
PS1401023-054
|
F
|
AISHA RAMADHANI MRISHO |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-055
|
F
|
AISHA YAHAYA THABITI |
Kiswahili - A, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-056
|
F
|
AMINA IDDI ABDUL |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - B, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-057
|
F
|
AMINA JAFARI SAIDI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-058
|
F
|
ASHA JUMA ALLY |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-059
|
F
|
AZIZA MUHALAMI MIRAJI |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-060
|
F
|
BENEDICTA FERDINANDI CHUWA |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - A, Science - C, Average Grade - B
|
PS1401023-061
|
F
|
BISHARA KIBA MANENO |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-062
|
F
|
ELIZABETH BARNABAS MBOSA |
Kiswahili - A, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-063
|
F
|
ESTHER FRANCIS BRUNO |
Kiswahili - A, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-064
|
F
|
FAUDHIA SHABANI NDUNGURU |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-065
|
F
|
HADIJA WAZIRI JITU |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-066
|
F
|
HAPPYNESS FUNDI BRUNO |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-067
|
F
|
HAWA ABDALLAH MILAO |
Kiswahili - C, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-068
|
F
|
IMAKULATHA MAKARIOS MAPUNDA |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - A, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-069
|
F
|
JOYCE MWANDU LUHENDE |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-070
|
F
|
KINDNESS BONIVENTURA DEUS |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-071
|
F
|
KURUTHUMU SAIDI SHABANI |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - D, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-072
|
F
|
LAILATHI ALLY ATHUMANI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-073
|
F
|
LAILATHI RAMADHANI SAIDI |
Kiswahili - B, English - E, Maarifa - D, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-074
|
F
|
LELA HASSANI JUMA |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-075
|
F
|
LILIAN WILIAM RICHARD |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-076
|
F
|
LINA AMOSI LUNGWA |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - A, Science - B, Average Grade - B
|
PS1401023-077
|
F
|
MAGRETHI FELICIAN EDESI |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - B
|
PS1401023-078
|
F
|
MARIA PAULO CAROL |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - B
|
PS1401023-079
|
F
|
MOSI HASSANI ALKADO |
Kiswahili - A, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-080
|
F
|
MWANAASHA ABABUU JUMA |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-081
|
F
|
MWANAHAWA MFAUME JUMANNE |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-082
|
F
|
NEEMA TITO MGIMWA |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-083
|
F
|
NURU AYOYI JULIUS |
Kiswahili - A, English - D, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - B
|
PS1401023-084
|
F
|
NURU HASSANI MWALIMU |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-085
|
F
|
OLIVER SCHOLASTICA HAULE |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - D, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - D
|
PS1401023-086
|
F
|
RABIA ABDALLAH TUMAINI |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-087
|
F
|
RASHDA ALLY RAMADHANI |
Kiswahili - C, English - D, Maarifa - E, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - D
|
PS1401023-088
|
F
|
RASHDA JUMANNE IDDI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-089
|
F
|
REHEMA HALFANI HASSANI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-090
|
F
|
REHEMA HAMISI BAKARI |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - B, Average Grade - C
|
PS1401023-091
|
F
|
SAKINA SAIDI OMARI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - C, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-092
|
F
|
SALAMA SAIDI NASORO |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - D, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-093
|
F
|
SALOME ANGELO KWEYUNGA |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - D, Hisabati - C, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-094
|
F
|
SHADYA SIZA IDDI |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-095
|
F
|
SOPHIA HASHIMU MASEGELE |
Kiswahili - B, English - D, Maarifa - D, Hisabati - B, Science - C, Average Grade - C
|
PS1401023-096
|
F
|
WARDA IDRISA DAVID |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - A, Science - C, Average Grade - B
|
PS1401023-097
|
F
|
ZENA JUMA MAGOSO |
Kiswahili - B, English - C, Maarifa - C, Hisabati - A, Science - C, Average Grade - B
|
PS1401023-098
|
F
|
ZUBEDA SALIMU ZIDI |
Kiswahili - A, English - C, Maarifa - C, Hisabati - B, Science - B, Average Grade - B
|
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla amesema Tanzania na
Nchi ya Oman zimefanya mazungumzo katika kuimalisha sekta ya Utalii
hasa kwenye Utalii wa kukuza Utamaduni na ule wa Kihistoria uliokuwepo
miaka mingi kwa Mataifa hayo.
Waziri
wa Maliasili na Utalii Dkt. Kigwangalla amebainisha hayo jioni ya jana
Oktoba 18,2017, wakati alipokuwa mgeni rasmi kwenye maonyesho ya nyimbo
na ngoma za Taifa la Oman yaliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja
Jijini Dar es Salaam ambapo pia tukio lilihudhuriwa na viongozi
mbalimbali wakiwemo Mawaziri na viongozi wa Taifa hilo la Oman ambao
wapo Nchini kwa ziara ya kusambaza Ujumbe wa Amani na Upendo kupitia
meli ya kifahari ya Mfalme wa Oman Mhe. Qaboos bin Said ‘Fulk Al
Salamah’.
Akizungumza
mara baada ya kushuhudia maonyesho ya ngoma na nyimbo hizo za Taifa la
Oman, Dkt. Kigwangalla amebainisha kuwa, Watanzania wameweza kujifunza
na kufurahia utamaduni wa Oman hasa kupitia nyimbo, ngoma na mashahiri
ambapo amebainisha kuwa Serikali itaendeleza ushirikiano mwema hususani
wa Kiutaduni na kukuza Utamaduni.
“Watanzania
na watu wa Taifa la Oman ni ndugu. Hivyo kupitia ngoma na nyimbo hizi
walizoonesha hapa zinafanana sana za zile za Visiwa vya Zanzibar na
ukanda wetu huu wa Pwani wa Tanzania.
Pia
hata baadhi ya viongozi waliokuja na msafara huu wanazungumza vizuri
lugha ya Kiswahili bila kuchanganya na lugha nyingine huku wengine kama
mulivyowaona wana asili ya Tanzania ikiwemo Visiwa hivyo vya Zanzibar
ambapo walizaliwa huko.” Ameeleza Dkt. Kigwangalla.
Aidha,
ameeleza kuwa, kwa sasa wanakusudia kutengeneza chanzo kipya cha Utalii
ambacho kitakuwa ni cha Kihistoria na Kiutamaduni baina ya Mataifa hayo
mawili na kufafanua kuwa, Histoia ya Tanzania hasa Lugha ya Kiswahili
huwezi kukitenganisha Bara la Arab hususani watu wa Oman.
“Kuna
wengine wasomi wa Historia na utamaduni wa Uislamu wamebainisha kwenye
taarifa za kisayansi, kuwa pengine hata dini ya kiisilamu ilianza kufika
ukanda wa Pwani wa Afrika Mashariki kabla ya hata haijafika baadhi ya
Nchi ya Mashariki ya Kati.
Hii ni
pamoja na makaburi ya kale kule Bagamoyo, Pemba na sehemu nyingine za
Tanzania ambapo kwa pamoja yanaonesha uwepo wa Waislamu na mashekhe wa
kiisilamu waliofika kuanzia mwaka 1200 mpaka hadi 2000, miaka mingi
iliyopita.” Alibainisha Dkt. Kigwangalla.
Ameongeza
kuwa: “Wao wakitangaza vivutio vyao, watavitangaza na vivutio vyetu vya
Tanzania. Lakini pia sisi tutatumia fursa vivutio tulivyonavyo ambavyo
wao hawana kama Mbuga za Wanyama kuwaalika watu wa Omani kuja kutalii
Tanzania, kipindi cha Mwezi Juni, Julai hata Agosti wao ni kipindi cha
joto kali kwani wakati mwingine msimu huo kule wao wanakuwa na
utaratibu wa kutoa rikizo ama mapumziko ya muda wa zaidi ya siku 30 hadi
40 hivyo tutatumia fursa ya kipindi hicho na hata wale wanaowapokea
Oman waweze kuja Tanzania kutalii” alieleza.
Pia alimalizia kwamba, ushirikiano huo, utaongeza soko kubwa la kiutalii.
Msafara
huo wa viongozi wa Oman wakiwemo Mawaziri na wafanyakazi wa Meli hiyo
ya Mfalme wa Taifa hilo unajumuisha watu zaidi ya 300 ambapo leo Oktoba
19,2017, umetembelea Wilaya ya Bagamoyo kujinea fursa za kiuwekezaji na
uchumi katika ukanda huo wa Pwani huku Meli hiyo kesho Oktoba 20,2017
ikitarajiwa kuondoka kuelekea Mombasa Nchini Kenya.
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akisalimiana na
Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt. Mohamed Hamad Al Rumhy alipokuwa
akiwasili kwenye tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman, Jijini Dar
es salaam
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akisalimiana na
Waziri wa Uwekezaji wa Oman Mhe. Salem Ben Nasser Al Ismaily, Kulia ni
Waziri wa Mafuta na Gesi wa Oman Dkt. Mohamed Hamad Al Rumhy alipokuwa
akiwasili kwenye tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman, Jijini Dar
es salaam
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akifurahia jambo
pamoja na Waziri wa Uwekezaji wa Oman Mhe. Salem Ben Nasser Al Ismaily,
alipokuwa akiwasili kwenye tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman,
Jijini Dar es salaam
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akiteta jambo pamoja
na Waziri wa Uwekezaji wa Oman Mhe. Salem Ben Nasser Al Ismaily, wakati
akishuhudia tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman, Jijini Dar es
salaam
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mh. Dkt.Hamisi Kigwangalla akiongea na Waziri
wa Uwekezaji wa Oman Mhe. Salem Ben Nasser Al Ismaily, wakati
akishuhudia tukio la Ngoma na nyimbo za Taifa la Oman, Jijini Dar es
salaam
Bendi ya Jeshi la Taifa la Oman wakipiga nyimbo za Taifa hilo zinazofanyika wakati wa vita na ukombozi
Baadhi ya wananchi wakiwa na bendera za Taifa la Oman na Tanzania wakishuhudia tukio hilo
Baadhi ya Askari wa kikosi Maji cha Oman wakiwa katika tukio hilo.
Dkt. Kigwangalla akizungumza na wanahabari
Dkt. Kigwangalla akizungumza na wanahabari
Dkt. Kigwangalla akizungumza na wanahabari
Kikundi cha utamaduni cha Oman wakionesha ngoma za Utamaduni wa Taifa hilo.
Kikundi cha utamaduni cha Oman wakionesha ngoma za Utamaduni wa Taifa hilo.
Kikundi cha utamaduni cha Oman wakionesha ngoma za Utamaduni wa Taifa hilo.
Kikundi cha utamaduni cha Oman wakionesha ngoma za Utamaduni wa Taifa hilo.
Mawakala wa benki ya CRDB watakiwa kuendeleza uadilifu
Mawakala
wa benki ya CRDB kupitia huduma ya Fahari Huduma kutoka wilaya zote za
mkoa wa Mwanza, wakiwa kwenye semina iliyoyandaliwa na benki hiyo kwa
ajili ya kuwajengea weledi na uwezo wa kutoa huduma bora kwa wateja.
Mawakala
kutoka wila ya za Nyamagana, Ilemela, Magu, Misungwi, Kwimba, Sengerema
pamoja na Ukerewe walihudhuria kwenye semina hiyo iliyofanyika alhamisi
iliyopita Oktoba 12,2017 Jijini Mwanza.
Akifungua
semina hiyo, Mkurugenzi wa CRDB tawi la Nyanza Jijini Mwanza, Wambura
Calystus aliwasihi mawakala hao kuwa waaminifu katika kuwahudumia wateja
ikiwemo kutunza siri za mihamara ya pesa za wateja wao huku wakitoa
huduma bora kama ilivyo ada ya benki ya CRDB wanayoiwakilisha katika
maeneo yao.
Mawakala
hao walieleza kwamba semina hiyo itawasaidia kuboresha huduma zao kwa
wateja na hivyo kuwahimiza wateja wa benki ya CRDB kuendelea kutumia
huduma za benki hiyo kwani zinapatikana kwa urahisi katika maeneo yote
nchini.
Na Binagi Media Group
Mkurugenzi wa CRDB tawi la Nyanza Jijini Mwanza, Wambura Calystus, akifungua semina hiyo
Meneja wa CRDB tawi la Nyanza Jijini Mwanza, Mafwimbo Mulungu akizungumza kwenye semina hiyo
Afisa wa CRDB, Danford Muyango akiwasilisha mada kwenye semina hiyo
Mmoja wa maofisa wa benki ya CRDB, akizungumza kwenye semina hiyo
Afisa BIMA kutoka benki ya CRDB tawi la Nyanza, Jackline Jubilate akiwasilisha mada kwenye semina hiyo
Mmoja wa maofisa wa benki ya CRDB, akizungumza kwenye semina hiyo
Mmoja wa maofisa wa benki ya CRDB, akizungumza kwenye semina hiyo
Meneja biashara wa CRDB tawi la Nyanda, Eugenius Mashishanga (kushoto), akizungumza kwenye semina hiyo
Baadhi ya wakala wa CRDB wakichangia mada kwenye semina hiyo
Baadhi ya mawakala wa benki ya CRDB wakiwa kwenye semina hiyo
CRDB ilivyoadhimisha Wiku ya Huduma kwa Wateja Geita
Comments
Post a Comment