NAIBU WAZIRI WA MAJI AJIONEA USAMBAZAJI WA MAJI CHALINZE UNAOSIMAMIWA NA DAWASA

 Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe (wanne) toka kushoto akiangalia ramani ya ujenzi wa tanki la maji la kijiji cha Manga Handeni , Chalinze mkoa wa Pwani, alipokuwa katika ziara ya siku moja ya  kukagua utekelezaji wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa mtambo wa maji Chalinze na ujezi wa mfumo wa kusafirisha na kusambaza maji safi pamoja na matenki ya kuhifadhi maji. mirdani hiyo ipo chini ya usimamizi wa Mamraka ya M aji safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA). Chini ya Mtnedaji wake Mkuju gwiji Mutalemwa na saiti yupo Kakwezi.




Naibu akiwa kwenye saiti patakapojengwa tanki la maji Manga


 Vijana wa Manga wakibalizi wkenye kivuli wakisubili mradi wao uanze

Naibu Waziri akizungumza nao  kwa kuwapa moyo kwamba mradi huo utaanza tena baada ya siku kumi zijazo na wao watakuwa wa kwanza kupewa kipaumbele  cha kufanya kazi hapo
 Wakiangalia ramani ya tanki la maji kijiji cha Kimanga


 Tanki lenyewe




AKIANGALIA KOKOTO AMBAZO ZITATUMIKA KUJENGA TANKI 


 Akiahakiki mchanga



 Naibu Waziri akisalimiana na wazee wa kijiji cha Rupungwi baada ya kuwasili hapo kwa ajili ya ukaguzi wa ujenzi wa tanki la maji
 Akizungumza nao  kuihusu mradi huo na kuwaomba wawe  wangalizi wakuu wake


 Akikagua tanki la Kijiji cha Mandela ambalo limekamilika

 Akihakiki ramani yake




 Akikagua  Tanki la Hondogo shuleni lililombioni kukamilika






Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe,(kulia) akiangalia mfereji wa kulaza mabomba ya maji safi katika kijiji cha Kilemela, Naibu Waziri alikuwa akikagua utekelezaji wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa mtambo wa maji Chalinze na ujezi wa mfumo wa kusafirisha na kusambaza maji safi pamoja na matenki ya kuhifadhi maji. Kushoto ni Meneja Mradi huo George Rajan



Akimpa Sh 15,000 mzee Mohamed Haji Hamwenga, ambaye alijitolea eneo lake kulitoa kwa ajili ya kujengwa Tanki la Kuhifadhia maji kwa ajili ya wananchi wa eneo kijiji cha Miono Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani
 Nguzo zikiwa zimemwagwa zege katika Tanki la kijiji hicho
 Mwanahabari Kimati, akizungumza na mzee huiyo



 Mto wami
 akionueshwa ujenzi wa matanki katika eneo la mto Wami kwenye mashine za kusambaza maji katika vijiji vya eneo hilo

 Akiwafafanulia jambo wanahabari baada ya kumalizi ziara hiyo.
 Mkurugenzi wa Halmashauli ya Chalinze akizungumza na wanahabari

 Tanki la kijiji cha Msata

 Tutwangane photo baada ya ziara

 Akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka baada ya kukutana

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.