NAIBU WAZIRI WA MAJI AJIONEA USAMBAZAJI WA MAJI CHALINZE UNAOSIMAMIWA NA DAWASA
Naibu
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Isack Kamwelwe (wanne) toka kushoto akiangalia ramani ya ujenzi wa tanki la maji la kijiji cha Manga Handeni , Chalinze mkoa wa Pwani, alipokuwa
katika ziara ya siku moja ya kukagua
utekelezaji wa mradi wa ukarabati na upanuzi wa mtambo wa maji Chalinze na
ujezi wa mfumo wa kusafirisha na kusambaza maji safi pamoja na matenki ya
kuhifadhi maji. mirdani hiyo ipo chini ya usimamizi wa Mamraka ya M aji safi na Maji Taka mkoa wa Dar es Salaam (DAWASA). Chini ya Mtnedaji wake Mkuju gwiji Mutalemwa na saiti yupo Kakwezi.
Naibu akiwa kwenye saiti patakapojengwa tanki la maji Manga
Vijana wa Manga wakibalizi wkenye kivuli wakisubili mradi wao uanze
Naibu Waziri akizungumza nao kwa kuwapa moyo kwamba mradi huo utaanza tena baada ya siku kumi zijazo na wao watakuwa wa kwanza kupewa kipaumbele cha kufanya kazi hapo
Wakiangalia ramani ya tanki la maji kijiji cha Kimanga
Tanki lenyewe
AKIANGALIA KOKOTO AMBAZO ZITATUMIKA KUJENGA TANKI
Akiahakiki mchanga
Naibu Waziri akisalimiana na wazee wa kijiji cha Rupungwi baada ya kuwasili hapo kwa ajili ya ukaguzi wa ujenzi wa tanki la maji
Akizungumza nao kuihusu mradi huo na kuwaomba wawe wangalizi wakuu wake
Akikagua tanki la Kijiji cha Mandela ambalo limekamilika
Akihakiki ramani yake
Akikagua Tanki la Hondogo shuleni lililombioni kukamilika
Akimpa Sh 15,000 mzee Mohamed Haji Hamwenga, ambaye alijitolea eneo lake kulitoa kwa ajili ya kujengwa Tanki la Kuhifadhia maji kwa ajili ya wananchi wa eneo kijiji cha Miono Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani
Nguzo zikiwa zimemwagwa zege katika Tanki la kijiji hicho
Mwanahabari Kimati, akizungumza na mzee huiyo
Mto wami
akionueshwa ujenzi wa matanki katika eneo la mto Wami kwenye mashine za kusambaza maji katika vijiji vya eneo hilo
Akiwafafanulia jambo wanahabari baada ya kumalizi ziara hiyo.
Mkurugenzi wa Halmashauli ya Chalinze akizungumza na wanahabari
Tanki la kijiji cha Msata
Tutwangane photo baada ya ziara
Akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka baada ya kukutana
Naibu akiwa kwenye saiti patakapojengwa tanki la maji Manga
Vijana wa Manga wakibalizi wkenye kivuli wakisubili mradi wao uanze
Naibu Waziri akizungumza nao kwa kuwapa moyo kwamba mradi huo utaanza tena baada ya siku kumi zijazo na wao watakuwa wa kwanza kupewa kipaumbele cha kufanya kazi hapo
Wakiangalia ramani ya tanki la maji kijiji cha Kimanga
Tanki lenyewe
AKIANGALIA KOKOTO AMBAZO ZITATUMIKA KUJENGA TANKI
Akiahakiki mchanga
Naibu Waziri akisalimiana na wazee wa kijiji cha Rupungwi baada ya kuwasili hapo kwa ajili ya ukaguzi wa ujenzi wa tanki la maji
Akizungumza nao kuihusu mradi huo na kuwaomba wawe wangalizi wakuu wake
Akikagua tanki la Kijiji cha Mandela ambalo limekamilika
Akihakiki ramani yake
Akikagua Tanki la Hondogo shuleni lililombioni kukamilika
Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi
Isack Kamwelwe,(kulia) akiangalia mfereji wa kulaza mabomba ya maji safi
katika kijiji cha Kilemela, Naibu Waziri alikuwa akikagua utekelezaji wa mradi
wa ukarabati na upanuzi wa mtambo wa maji Chalinze na ujezi wa mfumo wa
kusafirisha na kusambaza maji safi pamoja na matenki ya kuhifadhi maji. Kushoto
ni Meneja Mradi huo George Rajan
Akimpa Sh 15,000 mzee Mohamed Haji Hamwenga, ambaye alijitolea eneo lake kulitoa kwa ajili ya kujengwa Tanki la Kuhifadhia maji kwa ajili ya wananchi wa eneo kijiji cha Miono Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani
Nguzo zikiwa zimemwagwa zege katika Tanki la kijiji hicho
Mwanahabari Kimati, akizungumza na mzee huiyo
Mto wami
akionueshwa ujenzi wa matanki katika eneo la mto Wami kwenye mashine za kusambaza maji katika vijiji vya eneo hilo
Akiwafafanulia jambo wanahabari baada ya kumalizi ziara hiyo.
Mkurugenzi wa Halmashauli ya Chalinze akizungumza na wanahabari
Tanki la kijiji cha Msata
Tutwangane photo baada ya ziara
Akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka baada ya kukutana
Comments
Post a Comment