MATUKIO YA LEO


 Mkurugenzi wa tawi la CRDB Water Front Donath Shirima (kulia) akiwa pamoja katika picha na wafanyakazi wa tawi hilo kuelekea maadhimisho ya wiki ya wanawake duniani  Machi 08 mwaka huu.
 Wafanyakazi wa wa tawi la CRDB Water Front katika picha za pamoja kuelekea maadhimisho ya wiki ya wanawake duniani Machi 08 mwaka huu.
Muhamasishaji wa kampeni katika wiki ya wanawake kutoka benki ya CRDB Mary Gekura akiwa anatoa maelezo ya namna  ya  kufungua akaunti ya Malkia kwa wanawake inayolenga kumnufaisha mwanamke.

Wateja wa benki ya CRDB wakipata huduma katika moja ya madirisha ya benki hiyo tawi la Water Front.Picha Zote na Zainab Nyamka.

Africa’s Richest Man, Dangote, happy with Magufuli’s leadership style.

By Staff Reporter-Tanzania Information Services- MAELEZO


African’s wealthiest person, Alhaj Aliko Dangote said, on Sunday, that he was content with the leadership style of President Dr. John Pombe Magufuli and vowed to continue working with him and his government.

Welcoming the president and his delegation at Dangote cement factory in Mtwara, Alhaj Dangote said he was satisfied with every effort taken by the President and his government to strengthen investment climate in the country.
“It is a great honor and privileged to our company to have been given such an opportunity to make such a big investment in Tanzania which is worth US $650m” Alhaj Dangote told the President.

He added that his company was ready to continue supporting government measures in addressing socio economic challenges as part of the implementation of the company’s program of corporate social responsibility.

Alhaj Dangote told President Magufuli that currently the factory was producing 750,000 to 770,000 tons per year but this year production would be raised to one million tons and in 2018 the factory would reach its production capacity of three million tons per year.

On new trucks, he said that the launching of the 580 trucks has given new hope to many low income earners in the country because the trucks would distribute cement all over the country and would allow to be sold at fordable price of not more than ten thousand shillings.

Alhaj Dangote further explained that since production started, cement prices had dropped from shillings 15,000/= per 50kg bag to shillings 10,000/= and expected to drop further following new planned distribution network by the factory following the launching of the new trucks. 

Meanwhile, President John Pombe Magufuli has instructed Ministry of Energy and Minerals and Tanzania Petroleum Development Cooperation (TPDC) to allocate part of Ngaka coalmine in Mbinga District, Ruvuma region to Dangote Cement Factory so that the later can produce coal to use in cement production.

President Magufuli issued those instructions during his tour at the factory before officially launched 580 company’s trucks to be used to distribute cement to various parts of the country.

He gave the ministry and TPDC seven days to allocate the land and issue mining license to the company and repeated his previous call that Dangote should not buy natural gas through private companies apart from TPDC.

“Dangote must be granted mining license for coal and must have direct access of natural gas from TPDC” He said and added that TPDC has to construct special pipeline to supply natural gas to the factory.

He insisted that direct supply of natural gas to the factory and access to Ngaka coal mine, the company would be at liberty to choose between the two in running the factory. 

President Magufuli said that it was high time that the responsible ministry and its institutions take necessary measures to immediately make sure that no other hindrance befall the factory.

He noted that he has been informed of various setbacks facing the company and cited delaying of clearance of company’s trucks for two months and said he was surprised when he made a phone call to enquire about the issue then they were immediately cleared.

He however noted that the company’s management was to blame for some of those problems facing the company and asked Alhaj Dangote to rethink of his management.

“Mr. Dangote, you a very a good person but people who are representing you here are letting you down and it is probably that they are conspiring with your competitors to deceive you” President Magufuli said.

President Magufuli told Alhaj Dangote that it was unusual for a business company to procure a number of trucks like he had done but surprisingly they have been left unused and instead the company continued to outsource to add more expenses to the company.

He repeated his earlier call to Dangote’s management that they must directly contact the government for their service needs instead of using individuals or private companies as go between who he said were enriching themselves and raised company’s production cost.

“Alhaj Dangote kindly look carefully at your management; it uses middlemen who cause you problems. I have already instructed the ministry to not sell gas to middlemen. We want to directly supply gas to your factory that you can produce electricity at the factory” emphasized the President.

In December last year, President Magufuli met with Alhaj Aliko Dangote in Dar es salaam to clear the air when there were various negative stories published in the media about problems facing the company and it was claimed that the company was about to close its business in the country. 

During that meeting the President assured Alhaj Dangote of his commitment and that of his government to continue to create conducive environment to enable the factory to smoothly undertake its activities.

Dangote cement factory situated at Msijute Village, Mtwara region in Southern Tanzania is the biggest cement factory in the Southern African region.

President Magufuli was in fourth day of his four-day tour of Pwani, Lindi and Mtwara regions which started last Thursday.

  NAPE NNAUYE AFUNGA FAINALI ZA KOMBE LA ULEGA CUP MKURANGA MKOANI PWANI

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiwasalimia wachezaji wa timu ya mpira ya Kisiju wakati wa fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiwasalimia Waamuzi wa mpira wakati wa fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (katikati) akiteta jambo na Mbunge wa Mkuranga, Mhe. Abdallah Ulega wakati wa fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akimpongeza Mbunge wa Mkuranga, Mhe. Abdallah Ulega kwa juhudi zake za muleta maendeleo kaaika jimbo lake na udahmini wake wa kuanzisha Kombe la Ulega ambapo fainali za kombe hilo zimefanyika jana 05/03/2017 Wilayani hapo.
Mbunge wa Mkuranga, Mhe. Abdallah Ulega akiongea na wageni waalikwa pamoja na wakazi wa wilayani hapo kuhusu maendeleo ya jimbo lake na lingo la kuanzisha Kombe la Ulega ambapo fainali za kombe hilo zimefanyika jana 05/03/2017 Wilayani hapo.



Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Kisiju Wilayani Mkuranga wakati wa fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu ya Tengelea Wilayani Mkuranga wakati wa fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.
Timu za moira za Kisiju na Tengelea wakichuana kuwania kombe la Ulega lililoandaliwa na Mbunge wa Mkuranga, Mhe. Abdallah Ulega ambapo fainali hiyo imechezwa jana 05/03/2017 Wilayani hapo.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye pamoja na wageni engine walioalikwa wakifuatilia mpambano kati ya Timu ya mpira ya Kisiju na Tengelea wakati wa fainali za Kombe la Ulega zilizofanyika 05/03/2017 Wilayani Mkuranga Mkoani Pwani.
Baadhi wa Wakazi wa Mkuranga Mkoani pwani wakishiriki zoezi la uchangiaji damu 05/03/2017 wakati wa fainali za Kombe la Ulega lililoandaliwa na Mbunge wa Wilaya hiyo, Mhe. Abdallah Ulega.
Baadhi wa Wakazi wa Mkuranga Mkoani pwani walioshiriki zoezi la uchangiaji damu 05/03/2017 wakati wa fainali za Kombe la Ulega lililoandaliwa na Mbunge wa Wilaya hiyo, Mhe. Abdallah Ulega wakipokea zawadi za jezi na doti za khanga ikiwa ni sehemu za motisha.
Mbunge wa Mkuranga Mhe. Abdallah Ulega (aliyevaa tisheti la bluu) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wakazi wa Mkuranga Mkoani pwani walioshiriki zoezi la uchangiaji damu 05/03/2017 wakati wa fainali za Kombe la Ulega lililoandaliwa na Mbunge wa Wilaya hiyo

(PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-WHUSM)

CDEA yawapiga msasa wabunifu wa mavazi na urembo wa Afrika Mashariki kwa ufadhili wa IIDEA 2017

Wabunifu wa mavazi na urembo kutoka nchi za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania na Uganda, wamepigwa msasa wa namna ya kuendesha na kukuza fani zao kwenye sekta za ubunifu na biashara mafunzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la kiserikali (Culture and Development East Africa -CDEA) la jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongeza ujuzi na elimu ya biashara pamoja na masoko ambapo mafunzo hayo yanafadhiliwa na GIZ tawi la Afrika Mashariki. 

Awali akizungumza katika mafunzo hayo ambayo yalikuwa ya siku nne, Mkurugenzi Mtendaji wa CDEA, Bibi Ayeta Wangusa alishukuru na kuwapongeza washiriki kwa kuchaguliwa kwenye mradi huo ambao ni wa kwanza na wa kipekee katika ukanda wa Afrika Mashariki huku ukiwa chachu katika kuinua uchumi kwa kupitia sekta ya ubunifu huku akiwataka washiriki hao kuzingatia yale yote watakayofundishwa hususani suala la kutafuta masoko nje ya mipaka ya nchi zao wanazotoka. 

Mafunzo hayo yalihusisha jumla ya ya washiriki 17 ambao walibahatika kuchaguliwa waliweza kujengewa uwezo na mbinu mbalimbali ikiwemo zaUbunifu wa mavzi, Biashara, Mtandao, Sheria na mbinu tofauti za kupata ufadhili. Aidha, miongoni mwa walimu waliotoa mafunzo hayo, wakiwemo Bibi Santa Anzo na Bibi.Bernadine Buzabo kutoka nchini Uganda, waliweza kutoa mafunzo na mbinu za ubunifu na kufanya mauzo ya kazi zao ikiwemo kwenye masoko tofauti ya ndani na nje ikiwemo Afrika, Ulaya na Amerika. 
 

Washiriki ambao ni wabunifu kutoka Afrika Mashariki akiwemo Andrew Kalema, Joyce Gerald (katikati) na Makeke Jocktan wakifuatilia mafunzo hayo.

Washiriki hao pia walipata wasaha wa kujifunza namna ya kuandaa Mpango wa kazi zao za biashara na usajiri wa biashara ikiwemo kusajiri kampuni pamoja na kujitengenezea majinna (branding). Mafunzo hayo ya siku nne, yaliwawezesha washiriki kupata wasaha wa kutumia bidhaa halisi za ndani ya nchi za Afrika Mashariki ikiwemo khanga zilizotengenezwa na pamba ya hapa nchini Tanzania, Ngozi halisi ya mbuzi, Shanga na simbi ambazo zitokanazo na zao la baharini ambazo pia zilikuwa kivutio katika kazi zao hizo. 

Kwa upande wao waratibu wa mafunzo hayo, wamebainisha kuwa,wamedhamilia kutumia bidhaa za asili ili kukuza uchumi katika ngazi zote za mnyororo wa thamani katika sekta ya ubunifu wa mavazi na mitindo. Mradi huo pia unajulikana kama Atamishi ya kazi za Sanaa (IIDEA) unaratibiwa na CDEA kwa ufadhili wa GIZ East Africa, ukiwa na lengo la kukuza ujuzi na elimu ya biashara kwa sekta ya filamu, muziki na ubunifu wa mavazi huku kwa sasa ukihusisha nchi mbili za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania na Uganda. 
 

Mtendaji Mkuu wa CDEA, Bibi Ayeta Anne Wangusa akitoa takwimu za fashionomics kwa washiriki wa mafunzo hayo.

Kwa sasa mafunzo hayo ya Atamishi ya kazi za Sanaa (IIDEA) yameanza na masuala ya ubunifu wa mavazi na urembo ambapo pia yatafuatiwa na mafunzo mengine ikiwemo Muziki na filamu. Mwisho. CODES: CDEA yaendesha mafunzo ya IIDEA 2017 kwa wabunifu mavazi na urembo wa Afrika Mashariki Wabunifu wa mavazi na urembo kutoka nchi za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania na Uganda, wamepigwa msasa wa namna ya kuendesha na kukuza fani zao kwenye sekta za ubunifu na biashara IIDEA 2017,mafunzo yaliyoandaliwa na Shirika lisilo la kiserikali (Culture and Development East Africa -CDEA) la jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongeza ujuzi na elimu ya biashara pamoja na masoko ambapo mafunzo hayo yanafadhiliwa na GIZ tawi la Afrika Mashariki.

 Awali akizungumza katika mafunzo hayo ambayo yalikuwa ya siku nne, Mkurugenzi Mtendaji wa CDEA, Bibi Ayeta Wangusa alishukuru na kuwapongeza washiriki kwa kuchaguliwa kwenye mradi huo ambao ni wa kwanza na wa kipekee katika ukanda wa Afrika Mashariki huku ukiwa chachu katika kuinua uchumi kwa kupitia sekta ya ubunifu huku akiwataka washiriki hao kuzingatia yale yote watakayofundishwa hususani suala la kutafuta masoko nje ya mipaka ya nchi zao wanazotoka. 
 

Kemi Kalikawe kutoka Tanzania akipitia mchoro wa mshiriki Clare Musila (Uganda) wakati wa mafunzo hayo.

Mafunzo hayo yalihusisha jumla ya ya washiriki 17 ambao walibahatika kuchaguliwa waliweza kujengewa uwezo na mbinu mbalimbali ikiwemo zaUbunifu wa mavzi, Biashara, Mtandao, Sheria na mbinu tofauti za kupata ufadhili. Aidha, miongoni mwa walimu waliotoa mafunzo hayo, wakiwemo Bibi Santa Anzo na Bibi.Bernadine Buzabo kutoka nchini Uganda, waliweza kutoa mafunzo na mbinu za ubunifu na kufanya mauzo ya kazi zao ikiwemo kwenye masoko tofauti ya ndani na nje ikiwemo Afrika, Ulaya na Amerika. 

Washiriki hao pia walipata wasaha wa kujifunza namna ya kuandaa Mpango wa kazi zao za biashara na usajiri wa biashara ikiwemo kusajiri kampuni pamoja na kujitengenezea majinna (branding). Mafunzo hayo ya siku nne, yaliwawezesha washiriki kupata wasaha wa kutumia bidhaa halisi za ndani ya nchi za Afrika Mashariki ikiwemo khanga zilizotengenezwa na pamba ya hapa nchini Tanzania, Ngozi halisi ya mbuzi, Shanga na simbi ambazo zitokanazo na zao la baharini ambazo pia zilikuwa kivutio katika kazi zao hizo. 
 

Kebirugi Nina akishona vazi alilobuni.

Kwa upande wao waratibu wa mafunzo hayo, wamebainisha kuwa,wamedhamilia kutumia bidhaa za asili ili kukuza uchumi katika ngazi zote za mnyororo wa thamani katika sekta ya ubunifu wa mavazi na mitindo. Mradi huo pia unajulikana kama Atamishi ya kazi za Sanaa (IIDEA) unaratibiwa na CDEA kwa ufadhili wa GIZ East Africa, ukiwa na lengo la kukuza ujuzi na elimu ya biashara kwa sekta ya filamu, muziki na ubunifu wa mavazi huku kwa sasa ukihusisha nchi mbili za Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania na Uganda. 

Kwa sasa mafunzo hayo ya Atamishi ya kazi za Sanaa (IIDEA) yameanza na masuala ya ubunifu wa mavazi na urembo ambapo pia yatafuatiwa na mafunzo mengine ikiwemo Muziki na filamu. Tazama hapa matukio mbalimbali ya picha ya mafunzo hayo:

Washiriki na wataalamu wakibadilisha mawazo wakati wa semina magunzo hayo.
Bi Amal Mohamed kutoka Kenya akitoa mafunzo ya namna ya kupata Ufadhili kupitia ubunifu kwa wabunifu wa Afrika Mashariki.
Bi Bernadine Buzabo akiwasilisha mafunzo kwa washiriki kwa njia ya mtandao wa Skype kwa washiriki (Hawapo pichani).
Mmoja wa wanufaika wa ufadhili kupitia ubunifu kutoka Kenya Bwana James Otieno akitoa mafunzo kwa washiriki.
Baadhi ya washiriki Ester Kiula na Whitnery Gnaj wakifuatilia mafunzo hayo.
Mshiriki kutoka Uganda, John Okello akishona vazi alilobuni mwenyewe wakati wa mafunzo hayo.
Mshiriki akimuonesha mkufunzi kazi yake namna ya inavyovaliwa.
Mshiriki akipata maelekezo ya vipimo toka kwa mkufunzi.
Kemi Kalikawe akimuelekeza Catherine Mood Board.
Mshiriki Victoria Joseph akiwa kwenye ubunifu wake
Whitney Gnaj akijaribu vazi alilolibuni
Kemi Kalikawe akipitia mchoro wa Clare Musila 
Wakili masuala ya miradi na biashara Bi. Sia Mrema akifundisha kuhusu usajili wa biashara na makampuni kwa washiriki hao ili kujitangaza zaidi hasa kupitia majina yao ya ubunifu (brand).
Bibi Santa Anzo ambaye ni mbunifu mkongwe na mahiri nchini Uganda akitoa mafunzo ya namna ya wabunifu watakavyoweza kubuni ubunifu wao na kuuza bidhaa zao katika masoko ya nje.
Aliyewahi kuwa Miss Tanzania kipindi cha nyuma, Bi. Nasreen Karim akipitia kazi ya mwanafunzi Clare Musila
Aliyewahi kuwa Miss Tanzania kipindi cha nyuma, Bi. Nasreen Karim akitoa mafunzo kwa wabunifu hao (Hawapo pichani) wakati wa mafunzo ya IIDEA 2017.
Mmoja wa walimu wakitoa mafunzo katika mafunzo hayo.
Vazi la mbunifu wa Tanzania Makeke Jocktan alilolibuni wakati wa mafunzo hayo.
Washiriki wakifuatilia mafunzo hayo
Wabunifu wakiendelea na ubunifu wao
Washiriki wakifuatilia mafunzo hayo
Baadhi ya vitu vilivyotengenezwa na wabunifu hao katika mafunzo ya IIDEA 2017
Baadhi ya vitu vilivyotengenezwa na wabunifu hao katika mafunzo ya IIDEA 2017
Baadhi ya vitu vilivyotengenezwa na wabunifu hao katika mafunzo ya IIDEA 2017
Baadhi ya vitu vilivyotengenezwa na wabunifu hao katika mafunzo ya IIDEA 2017
Kazi za wabunifu zilizofanywa na washiriki
Baadhi ya washiriki wabunifu na walimu wakipiga picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa CDEA, Bibi Ayeta Anne Wangusa.

Comments

Popular posts from this blog

Je, wajua kwamba Australia ni bara, nchi na kisiwa?

AMANI YETU TUILINDE NAIBU WAZIRI CHANDE AZUNGUMZA KATIKA IJITIMAI JIJINI DODOMA

UNAMKUMBUKA AMINA CHIFUPA WA MPAKANJIAA.