MBOWE MAHAKAMA KUU AWABWAGA MAKONDA NA WENZAKE WATAKIWA KUTOMFUATAFUATA
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, akiwa katika chumba cha mahakama Kuu akisubili kesi yake kuanza leo hii jijini Dar es Salaam aliyowafungulia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, Mkuu wa Poliis Mkoa wa dar es Salaam Sirro na Mwanasheria Mkuu wa Serikali na wametakiwa wasimsumbue hadi shauli lake la msingi litakapoisha
Akizungumza na wabunge wa chama chake
Akizungumza na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa chama hicho Benson Kigaila
Mwansheria wa chama hicho Tundu Lissu, akizungumza na wanahabari baada ya kutoka mahakamani
Mbowe, akizungumza na Lissu baada ya kumaliza mazungumzo na wanahabari
Mapipooo mpoo akitoka mahakamani akipungia mashabiki wake
Gari la Serikali alilokuja nalo likiwa la mkuu wa kambi ya upinzani bungeni
Mashabi na wanachama wa chama hicho wakiwa nje ya mahakama kuu
Mbowe, akihutubia viongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam baada ya kuwasili hapo leo
Akizungumza nao
Akienda kupumzika baada ya kuzungumza nao
Akizungumza na wabunge wa chama chake
Akizungumza na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa chama hicho Benson Kigaila
Mwansheria wa chama hicho Tundu Lissu, akizungumza na wanahabari baada ya kutoka mahakamani
Mbowe, akizungumza na Lissu baada ya kumaliza mazungumzo na wanahabari
Mapipooo mpoo akitoka mahakamani akipungia mashabiki wake
Gari la Serikali alilokuja nalo likiwa la mkuu wa kambi ya upinzani bungeni
Mashabi na wanachama wa chama hicho wakiwa nje ya mahakama kuu
Mbowe, akihutubia viongozi wa chama hicho mkoa wa Dar es Salaam baada ya kuwasili hapo leo
Akizungumza nao
Akienda kupumzika baada ya kuzungumza nao
Comments
Post a Comment